nilishatolea ufafanuzi juu ya utaratibu unaofuatwa ktk kuziba nafasi za viti maalum,malalamiko hayo kwa sasa hayana nafasi kwani maamuzi ya nani mrithi yanategeme aorodha ilokwisha pelekwa tume kabla ya uchaguzi mkuu ya walopendekezwa kushika nafasi za viti maalum kupitia CHADEMA,kama utaratibu huo ulotumika zamani/wakati huo haisaidii kuleta propaganda hizo kwa sasa,Hata hivyo nakushauri jenga chama eneo lako ili uwe na wanawake wenye sifa maana hili suala la kulazimisha mizania ktk chama kinachojijenga kuna hatari ya kujikuta mna MAGAMBA ya viti maalum ndani ya CHADEMA,Akina Halima Mdee na wenzake ni kweli walikuwa wa kaskazini,lakini ndo wanawake wachache waliokijua na kukipenda chama kwa wakati huo,tena wenye uwezo,ni mtu mjinga ambaye angetaka chama kithubutu kuwatafuta au kulazimisha kutoa ubunge huo wa chee kwa watu ambao hawana mizizi kwenye chama eti tu kwa lengo la kinachoitwa mizania ya ukanda wakati unajua si kweli kuwa kanda zote una ufuasi,kama bado unajenga,sharti nguvu itoke kulikojengeka kuelekea kule kunakojengwa,na mafundi wazuri wa kujenga eneo ambalo halijajengwa watakuwa ni wale ambao wamezoea au wameshajenga kwao.MAGAMBA MSITUCHANGANYE,NI KWA UTARATIBU HUO LEO CHADEMA WAKISEMA CCM INATIKISIKA NA KUITIKIA MZIKI WAKE,chama kimejengwa na wafuasi wanaongezeka kila siku,hali ya juzi si ya jana,na jana si leo na leo si kesho.TUNAIMARIKA TUNASAMBAA HATIMAYE HATA HICHO KISINGIZIO CHA UKABILA KITATOKOMEA