Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
Huyu hapa.
![]()
hakuna jipya,hana uwezo huo na wala hadeserve..
Huyu hapa.
![]()
![]()
...Mbunge Ajaye wa Njombe Kusini ni Deo Mwanyika, Kamanda wa UVCCM Njombe, na Makamu wa Rais wa Africa Barrick Gold Mining...
Sasa unasema huyu hapa bila kuweka PICHA ndo unamaanisha nini? Au ni wewe mwenyewe umeamua kujipigia promo?
hakuna jipya,hana uwezo huo na wala hadeserve..
![]()
mkuu hulioni hilo jembe? au kwako fitina sio mwiko?
![]()
...Mbunge Ajaye wa Njombe Kusini ni Deo Mwanyika, Kamanda wa UVCCM Njombe, na Makamu wa Rais wa Africa Barrick Gold Mining...
Iron Lady njoo uthibitishe hapa
UMETUMWA KUWASEMEA AU UMEJITUMA??? Tafakari kwa Mwaka Huu umejiwekea MALENGO gani ya kimaendeleo ILI na SISI tujadili,zaidi ya Huu ----- wa kututangazia nani MGOMBEA ubunge Njombe.
atammwaga yule anae nyonya madini yetu kupitia Barrick
huyo sio THE iron lady mimi. atakuwa mtu mweingine nae anajiita iron lady.
hili si jina tu mkuu kila mdada anayejiona anasifa za kujiita hivyo basi anaweza kujiita hivyo wala sio kosa kisheria .
hata hivyo mimi si mwanafunzi wa chuo chochote nilishamaliza zamani. sasa nalitumikia taifa kwa taaluma niliyoipata.
We unamalengo gani au ndo porojo tu hapa jukwaani
Hizo "figure" nikiziona namkumbuka yule masalia mkuu anayeleta mivurugu isiyo na mbele wala nyuma. Nimekosa imani nao kiasi fulani hadi wapitie kwenye chujio kali na sio kuokota okota tu.
Inapendeza kwa mfano jinsi Ester Wasira "anavyoivishwa" taratibu kiasi kwamba akisimama jukwaani kutoa speech unaona kabisa hii inatoka rohoni na sio mtu wa kutafuta vyeo.
So anataka apate kibali,cha kuendelea kuchukua madini kiurahisi....ha haaa,nitafunga safari 2 njombe,staafisha ccm kwa manufaa ya uma!
angalia post kabla yako na nimeikopi tena.
![]()
...mbunge ajaye wa njombe kusini ni deo mwanyika, kamanda wa uvccm njombe, na makamu wa rais wa africa barrick gold mining...