Mrithi wa Makinda huyu hapa

Mrithi wa Makinda huyu hapa

huyo sio THE iron lady mimi. atakuwa mtu mweingine nae anajiita iron lady.
hili si jina tu mkuu kila mdada anayejiona anasifa za kujiita hivyo basi anaweza kujiita hivyo wala sio kosa kisheria .
hata hivyo mimi si mwanafunzi wa chuo chochote nilishamaliza zamani. sasa nalitumikia taifa kwa taaluma niliyoipata.

hivi ni wewe mbunge wetu mtarajiwa?

mh watu ni wagumu kuelewa mbona nimeshaeleza hapo au unataka hadi nitaje majina yangu halisi? ningekuwa mimi huyo dada na nakataa kuwa si yeye nisingekuwa na sifa za kuwa THE Iron lady. hili ni jina kila mtu anaweza kutumia.
 
Mkuu, dondosha ma -uzoefu yake hapa katika harakati na mapambano ya siasa!
 
Kama huyo atachukua viatu vya makinda mi naitaka lafudhi yake tu 'theyu vere machiiiii' 'wageni toka merekani'
 
Iron Lady njoo hapa jukwaani usibishe hizi tetesi tafadhali
pengine hana account hapa jf ila nimemuona mara kadhaa akilipuka kwenye mikutano ya iringa,wanaomfahamu watusaidie kumpa taarifa ili aje athibitishe mwenyewe isije ikawa watu waliropoka tu
 
Uhaba wa ajira pia ni tatizo kubwa sana Tanzania
 
Kuna mdada anajiita Iron Lady ila najua jina lake ni Rose Mayemba,anasoma chuo kikuu cha RUCO,kuna tetesi kuwa anajiandaa kwenda kugombea kwa Makinda.

attachment.php



Alikwina!!!! Anyway, ana hips nzuri
 
Asije akiwa ni masalia tu!!! Maana hawachelewi kuhongwa ila ajua inteligensia itammulika na kumtimua kabla mission haijatimia!! Shonza atatakiwa kurejesha roba la hela walilompa waliomtuma!! Asipofanya atajua watakakompeleka!! Gamba ni hatari!!
 
mh watu ni wagumu kuelewa mbona nimeshaeleza hapo au unataka hadi nitaje majina yangu halisi? ningekuwa mimi huyo dada na nakataa kuwa si yeye nisingekuwa na sifa za kuwa THE Iron lady. hili ni jina kila mtu anaweza kutumia.
Hata kama sio wewe but kwa sasa wacha uwe wewe mpaka mwenyewe real atakapofungua account.
Sasa Iron Lady, mipango iliyopo ni ipi sasa? Unafikir twaweza kumpiku yule mmama? Ukihitaji msaada hapa JF sema mdada.
 
Last edited by a moderator:
mh watu ni wagumu kuelewa mbona nimeshaeleza hapo au unataka hadi nitaje majina yangu halisi? ningekuwa mimi huyo dada na nakataa kuwa si yeye nisingekuwa na sifa za kuwa THE Iron lady. hili ni jina kila mtu anaweza kutumia.
Hata kama sio wewe but kwa sasa wacha uwe wewe mpaka mwenyewe real atakapofungua account.
Sasa Iron Lady, mipango iliyopo ni ipi sasa? Unafikir twaweza kumpiku yule mmama? Ukihitaji msaada hapa JF sema mdada.
 
Last edited by a moderator:
Duuh mbegu za pande zile zina mbolea kweli kweli
 
Umekuwa PRO wa watu wa njombe?

sent sabini matumaini.Mmekula vya watu na sasa mmeanza kuweweseka.Deo ni sehemu ya magamba wa nchi hii.Si dhani kama kuna haja ya kufikiria kinyumenyume kama alivyowahi kusema Didas ma......buri.Acheni chama kingine hatimaye kitawale Njombe.Njombe kwa sasa ni mali ya CHADEMA na makamanda wa ukweli tayari wamejiandaa.Hadi sasa wapo vijana toka U.k waliko kwenda kuchukua mawe(nyota a,k.a taaluma),Australia(PhD) na sehemu mbalimbali za nchi hii.Deo aache kwanza mchezo wa kuwavalisha wake na waume za watu mabango yake.Si heshima hata kidogo.
 
kumbe cku hizi watu wanarithi viti kwa kutamka tu tayari unakuwa mrithi
 
hapa ni ushindani na kijana machachari je ataweza?KIJANA MASONGA HUYU PICHANI NA IMANI KUBWA NA MASONGA EMMANUEL mana Deo ana pesa za kifisadi lakini wengine kama Masonga Amekua na historia nzuri katiak kuongoza bila kulazimisha kuchaguliwa Nguvu za Mungu ndio Salama kupata viongozi bora sio pesa . DSC03442.JPG DSC03442.JPG KARIBU MASONGA BILA WOGA DEO Mwanyika asikusumbue kijana mwenzetu
 
ana shep nzuri, na anaonekana hajaolewa! though sijui kichwani yukoje? ila nikimkumbuka shonza arghhhh........... kuna tuvijana twa ccm tuna vihawara viiingi! mpaka nakosa amani.. aah nnahitaji maombi kwa kweli kurudisha imani yangu!
 
Back
Top Bottom