![]()
...Mbunge Ajaye wa Njombe Kusini ni Deo Mwanyika, Kamanda wa UVCCM Njombe, na Makamu wa Rais wa Africa Barrick Gold Mining...
Mbona wewe upo kama nzi wa chooni ila hatusemi !Hana mvuto kamekaa kama ka kinyago
hapa ni ushindani na kijana machachari je ataweza?KIJANA MASONGA HUYU PICHANI NA IMANI KUBWA NA MASONGA EMMANUEL mana Deo ana pesa za kifisadi lakini wengine kama Masonga Amekua na historia nzuri katiak kuongoza bila kulazimisha kuchaguliwa Nguvu za Mungu ndio Salama kupata viongozi bora sio pesa .View attachment 79965View attachment 79965KARIBU MASONGA BILA WOGA DEO Mwanyika asikusumbue kijana mwenzetu
picha hujaiona au unatumia mchina?Sasa unasema huyu hapa bila kuweka PICHA ndo unamaanisha nini? Au ni wewe mwenyewe umeamua kujipigia promo?
mh watu ni wagumu kuelewa mbona nimeshaeleza hapo au unataka hadi nitaje majina yangu halisi? ningekuwa mimi huyo dada na nakataa kuwa si yeye nisingekuwa na sifa za kuwa THE Iron lady. hili ni jina kila mtu anaweza kutumia.
Mkuu, ni kwa lipi zuri alilolifanya huyo Mwanyika hadi kumpigia debe awe mbunge wa huko Njombe Kusini?Maana nijuavyo mimi hao Barrick GM hawana tofauti na wanyonyaji wengine wa madini ya TZ....Mbunge Ajaye wa Njombe Kusini ni Deo Mwanyika, Kamanda wa UVCCM Njombe, na Makamu wa Rais wa Africa Barrick Gold Mining...![]()
Emmanuel masonga ni chaguo bora kijana aneweza kutumwa na wananjombe na akafanya kazi za njombe
Hata kama sio wewe but kwa sasa wacha uwe wewe mpaka mwenyewe real atakapofungua account.
Sasa Iron Lady, mipango iliyopo ni ipi sasa? Unafikir twaweza kumpiku yule mmama? Ukihitaji msaada hapa JF sema mdada.
Kuna mdada anajiita Iron Lady ila najua jina lake ni Rose Mayemba,anasoma chuo kikuu cha RUCO,kuna tetesi kuwa anajiandaa kwenda kugombea kwa Makinda.
![]()
Kuna mdada anajiita Iron Lady ila najua jina lake ni Rose Mayemba,anasoma chuo kikuu cha RUCO,kuna tetesi kuwa anajiandaa kwenda kugombea kwa Makinda.
![]()