Mrithi wa Makinda huyu hapa

Mrithi wa Makinda huyu hapa

Benazir Buto

Member
Joined
Sep 30, 2012
Posts
65
Reaction score
8
Kuna mdada anajiita Iron Lady ila najua jina lake ni Rose Mayemba,anasoma chuo kikuu cha RUCO,kuna tetesi kuwa anajiandaa kwenda kugombea kwa Makinda.

attachment.php


 

Attachments

  • RUCO.jpg
    RUCO.jpg
    62.8 KB · Views: 5,013
Sasa unasema huyu hapa bila kuweka PICHA ndo unamaanisha nini? Au ni wewe mwenyewe umeamua kujipigia promo?
 
Kamilisha habari halafu uje tena.
La sivyo we ni mmbea
 
huyu ni CHADEMA,yuko iringa anapatiakana sana ofisi ya mbunge Msigwa!
 
Nccr au Chauma.Halafu siku hizi hamna cha iron lady wote soft tu.Msije mkatuletea hizo sera kwenye Urais
 
iron lady au beautiful lady?..yuko bomba,sijui kuhusu harakati zake kisiasa
 
Hizo "figure" nikiziona namkumbuka yule masalia mkuu anayeleta mivurugu isiyo na mbele wala nyuma. Nimekosa imani nao kiasi fulani hadi wapitie kwenye chujio kali na sio kuokota okota tu.

Inapendeza kwa mfano jinsi Ester Wasira "anavyoivishwa" taratibu kiasi kwamba akisimama jukwaani kutoa speech unaona kabisa hii inatoka rohoni na sio mtu wa kutafuta vyeo.
 
Tunamuomba hapa JF tumfanyie Vetting ikiwa anaweza kuvaa viatu vya mama Makinda.
 
images


...Mbunge Ajaye wa Njombe Kusini ni Deo Mwanyika, Kamanda wa UVCCM Njombe, na Makamu wa Rais wa Africa Barrick Gold Mining...
 
Back
Top Bottom