Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
Kumbe kaumaarufu kanasaidia? Ngoja nikamstue Matonya aanze kuwalabua hawa mabebz...
Mkuu Bavaria ina 8.6% alcohol..... Tutunziane heshima kiongozi.Hahaaa! Mkuu naona saiz unaendeshwa na 6% alc.
Mkuu Bavaria ina 8.6% alcohol..... Tutunziane heshima kiongozi.
Mkuu Bavaria ina 8.6% alcohol..... Tutunziane heshima kiongozi.
Leo mida jioni jioni nikawa nimekaa sehemu napiga stori na mzungu mmoja, nikaona kiingereza chake kibovu kweli na ana struggle sana na maneno na sentensi zake ni za kuunga unga had changu. KHAA nikabak nashangaa inakuwaje tena,he kumbe jamaa Mfaransa ndipo nilipoamin kuwa ni sisi tu wabongo ambao kwetu mtu asipojua kuongea kiingereza vyema tunamwona mbufi mmoja hvi wakati ni kitu cha kawaida tu.
Asipojifunza kwa kufanya makosa atapataje nafasi ya kua sahihi naamini Yanga wana mashindano nje ya nchi ikitokea akawa man of the match na hajajifunza hata kiingereza cha kuungaunga mtakuja na thread za kumbeza kama siku zileee.Mkuu swala apo ni kwanini alitumie hilo neno?!
Na kama unaweza tumia neno lolote kwanini hakutumia neno la kilugha cha kwao?!
Kama sikosei Ngasa alikamata vichwa vya habari za michezo juzi juzi tu kua alitimkia South Africa ni vipi kama ana mpango wa kuendeleza career nje ya Tz ambako kiingereza ni lugha inayaotumika na kaanza mazoezi ya kiingereza au inabidi akajifunze mbele kwa mbele naona umeangalia upande mmoja wa akina Tevez vipi hawa wazungu wanaoongea kiswahili tena wakijua mtu wanaeongea nae anajua kiingereza ila wanalazimisha ili wajue kiswahili mfn mimi nimepokea sana volunteers toka USA wanajua ningeweza kuwasiliana nao kwa kiingereza ila wanaongea kiswahili chao cha miezi 3 walichojifunza kwao nao tuwaite malimbukeni.Hao wote uliowataja huongea Kiingereza kwa kuwa inawalazimu kuongea Kiingereza na kama wasipoongea basi huwa na mkalimani...
Kumbuka maisha yao ya kisoka wanayaendesha katika nchi itumiayo lugha ya Kiingereza...
Hata huyo Teves wakati akiwa Uingereza alikuwa ni mgumu kujifunza kiingereza ikabidi awe na mkalimani/mkufunzi kumpa msaada...
....lakini huyu Ngassa lugha yake ya kwanza tunaijua ni Kiswahili na yupo katika nchi ambayo lugha ya kwanza ni Kiswahili.
Sasa kwa nini anahangaika kuzungumza lugha ambayo hana ubobezi nayo na kukacha lugha ambayo ndio lugha mama?
Mtu huyu akikosea lazima anyooshewe vidole tu, ujinga ni hali ya kudhani unajua kitu usichokijua....
Hebu niambie... Steven Gerald akihojiwa Uingereza na mwandishi mwingereza, ana sababu yoyote kuchanganya na kijerumani kwenye majibu yake???
Hapo juu nimekujibu kua dhumuni la Ngasa inawezekana ni kujifunza na hawezi kusubiri mpaka haojiwe na mwandishi wa kiingereza kama wewe ulivyokua unaongea kiingereza na Mmatengo au Mkinga mwenzio ukiwa inajua mnaweza kuongea cha kwenu ila ulitaka ujifunze.
Mkuu tatizo hujaelewa kinachoongelewa apa.
Huyo jamaa yakovalitumia lugha ambayo kidogo mngeelewana kwan angetumia cha kwao au cha kwetu msingeelewana kabisa.
Kwa ngasa ni tofauti kwan alikua anahojiwa na vyombo vya ndani na alitaka kuonyesha pia ameenda shule wakati uganda ombaomba wanaongea kizungu vizuri tu.
Leo mida jioni jioni nikawa nimekaa sehemu napiga stori na mzungu mmoja, nikaona kiingereza chake kibovu kweli na ana struggle sana na maneno na sentensi zake ni za kuunga unga had changu. KHAA nikabak nashangaa inakuwaje tena,he kumbe jamaa Mfaransa ndipo nilipoamin kuwa ni sisi tu wabongo ambao kwetu mtu asipojua kuongea kiingereza vyema tunamwona mbufi mmoja hvi wakati ni kitu cha kawaida tu.
Hebu niambie... Steven Gerald akihojiwa Uingereza na mwandishi mwingereza, ana sababu yoyote kuchanganya na kijerumani kwenye majibu yake???
Kwa hisani ya Watu8
Asipojifunza kwa kufanya makosa atapataje nafasi ya kua sahihi naamini Yanga wana mashindano nje ya nchi ikitokea akawa man of the match na hajajifunza hata kiingereza cha kuungaunga mtakuja na thread za kumbeza kama siku zileee.
Kama sikosei Ngasa alikamata vichwa vya habari za michezo juzi juzi tu kua alitimkia South Africa ni vipi kama ana mpango wa kuendeleza career nje ya Tz ambako kiingereza ni lugha inayaotumika na kaanza mazoezi ya kiingereza au inabidi akajifunze mbele kwa mbele
ISHONDWAKUPAFOMANSINWENOMAZAIDIYAPDIDYWAPISMAllJRPdidy. Mwajumaaaaaa wbagaraaa weraaaaaaaaa wapiiiishyyyyNgasa kadai ameshindwa 'kuperformance' sababu sababu alikua anakatwa hela zote.
Sasa najiuliza kulikua na ulazima gani wa kutumia kiingereza?!
Afu mademu,iv kweli Ngasa angekua ka mimi tu mngemshobokea?!
Ngasa kadai ameshindwa 'kuperformance' sababu sababu alikua anakatwa hela zote.
Sasa najiuliza kulikua na ulazima gani wa kutumia kiingereza?!
Afu mademu,iv kweli Ngasa angekua ka mimi tu mngemshobokea?!