Mrisho Gambo atakiwa kuripoti ofisi ya DC

Mrisho Gambo atakiwa kuripoti ofisi ya DC

Mimi hiyo kuitwa naona tutaijadili baadae lakini kwanza....

Kwanini mafuta (lotion na hii itakuwa ilikuwa KY labda aliona kwa mbali akadhani ni lotion ya kawaida) na condom na siyo bunduki kama tulivyozoea?

Hahah jamaa wana drama haijapata kutokea.
Hii kaliii🙊🙊
 
Mmh 🙄 🙄🙄, eti nini...!!??

LOTION na CONDOM..!!??

Maana yake:

LOTION: Kilainishi..

SWALI: Walitaka kulainisha sehemu gani ya mwili wa Gambo Mrisho..?

Halafu kuna;

CONDOM: Hii inaeleweka. Kwamba condom huvaliwa kwenye uume (dick) ya mwanamume Rijali au aliyekula Viagra...

SWALI: Ina maana hawa jamaa wanataka kumfira Mrisho Gambo? Kwanini waende kwake wakiwa na lotion na condomu..?

Loooh..!!

Hawa Ma-CCM ni kiboko, acheni kabisa...

Yaani wanapanga kutaka kumfira mwenzao..?

Sababu?

Anafuatilia fuatilia mambo yao...!
 
Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM, Ndugu Mrisho Gambo amepelekewa waraka wa kufika kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Arusha Mjini, huku akitakiwa kuwataja kwa Majina watu wa Serikali ambao alidai walitaka kumvamia mara kadhaa, huku wakiwa wamebeba Condom na Lotion.

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Gambo alitangaza hadharani kwamba anawindwa na watu wa serikali kwa lengo la kumdhuru.

Ama kweli dunia ni duara, leo Mrisho Gambo aliyekuwa anatukana wenzake akiwa DC kwamba wana digrii za nguo za ndani na baadaye kuwa RC aliyedhalilisha viongozi wengine, naye anaitwa kujieleza!

Daaah!
Usanii huo usiuamini
 
Back
Top Bottom