Mrisho Gambo atakiwa kuripoti ofisi ya DC

Mrisho Gambo atakiwa kuripoti ofisi ya DC

Mimi hiyo kuitwa naona tutaijadili baadae lakini kwanza....

Kwanini mafuta (lotion na hii itakuwa ilikuwa KY labda aliona kwa mbali akadhani ni lotion ya kawaida) na condom na siyo bunduki kama tulivyozoea?

Hahah jamaa wana drama haijapata kutokea.
 
Wewe jamaa ni mjinga mno. Hata zingekuwa kwenye chumba kimoja lazima taratibu za kikazi zifuatwe. Serikali inafanya kazi kwa maandishi. Au ulidhani serikalini ni kama kijiweni kwenu?
Serekali ingekuwa inajali taratibu kwa kiwango hicho, tusingeona mabehewa used, maana serekali haitakiwi kununua vitu used.
 
Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM, Ndugu Mrisho Gambo amepelekewa waraka wa kufika kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Arusha Mjini, huku akitakiwa kuwataja kwa Majina watu wa Serikali ambao alidai walitaka kumvamia mara kadhaa, huku wakiwa wamebeba Condom na Lotion.

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Gambo alitangaza hadharani kwamba anawindwa na watu wa serikali kwa lengo la kumdhuru.

Ama kweli dunia ni duara, leo Mrisho Gambo aliyekuwa anatukana wenzake akiwa DC kwamba wana digrii za nguo za ndani na baadaye kuwa RC aliyedhalilisha viongozi wengine, naye anaitwa kujieleza!

Daaah!
Kwanza alijuaje kama hao Jamaa walibeba.Condom na Lotion ?
Walimuonesha ?, Alizionaje ?
Huyu kishatendwa sio bure
 
Back
Top Bottom