Mrisho Gambo atakiwa kuripoti ofisi ya DC

Mrisho Gambo atakiwa kuripoti ofisi ya DC

Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM, Ndugu Mrisho Gambo amepelekewa waraka wa kufika kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Arusha Mjini, huku akitakiwa kuwataja kwa Majina watu wa Serikali ambao alidai walitaka kumvamia mara kadhaa, huku wakiwa wamebeba Condom na Lotion.

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Gambo alitangaza hadharani kwamba anawindwa na watu wa serikali kwa lengo la kumdhuru.

Ama kweli dunia ni duara, leo Mrisho Gambo aliyekuwa anatukana wenzake akiwa DC kwamba wana digrii za nguo za ndani na baadaye kuwa RC aliyedhalilisha viongozi wengine, naye anaitwa kujieleza!

Daaah!
Tena Kwa DC maajabu ya9 ya dunia haya
 
Huyu mwamba ninachohisi ni muasherati na nahisi mkewe alifuma kondom zilizotumika nyumbani kwao.

Daima uongo mmoja huanzisha mwingine. Pengine katika utetezi wake kuhusiana na condom zilizotumika akadai watu wanataka kumuua/kumlawiti.

Ili kuaminika zaidi imebidi aibebe story mpaka kwnenye majukwaa.

Chimbuko la hili sakata lote ni uzinzi wa Gambo.
 
Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM, Ndugu Mrisho Gambo amepelekewa waraka wa kufika kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Arusha Mjini, huku akitakiwa kuwataja kwa Majina watu wa Serikali ambao alidai walitaka kumvamia mara kadhaa, huku wakiwa wamebeba Condom na Lotion.

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Gambo alitangaza hadharani kwamba anawindwa na watu wa serikali kwa lengo la kumdhuru.

Ama kweli dunia ni duara, leo Mrisho Gambo aliyekuwa anatukana wenzake akiwa DC kwamba wana digrii za nguo za ndani na baadaye kuwa RC aliyedhalilisha viongozi wengine, naye anaitwa kujieleza!

Daaah!
Haya mamb ya kubeba na kilainish 😂
 
Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM, Ndugu Mrisho Gambo amepelekewa waraka wa kufika kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Arusha Mjini, huku akitakiwa kuwataja kwa Majina watu wa Serikali ambao alidai walitaka kumvamia mara kadhaa, huku wakiwa wamebeba Condom na Lotion.

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Gambo alitangaza hadharani kwamba anawindwa na watu wa serikali kwa lengo la kumdhuru.

Ama kweli dunia ni duara, leo Mrisho Gambo aliyekuwa anatukana wenzake akiwa DC kwamba wana digrii za nguo za ndani na baadaye kuwa RC aliyedhalilisha viongozi wengine, naye anaitwa kujieleza!

Daaah!
Awamu ya tano (B) imejaa vituko sana.
 
Huyu mwamba ninachohisi ni muasherati na nahisi mkewe alifuma kondom zilizotumika nyumbani kwao.

Daima uongo mmoja huanzisha mwingine. Pengine katika utetezi wake kuhusiana na condom zilizotumika akadai watu wanataka kumuua.
Ili kuaminika zaidi imebidi aibebe story mpaka kwnenye majukwaa.

Chimbuko la hili sakata lote ni uzinzi wa Gambo.
Na hata Nabii Lemma ndicho alichosema.
 
Lotion haina jina? Ili tuchukue tahadhari tukiona pahali
Kitu cha ky hicho
Screenshot_20221215-193335.jpg
 
Back
Top Bottom