Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,670
- 22,260
Sijui hizi barabara wataingilia wapi! Maana usiku huo tayari itakuwa umetawaliwa na askari, mpaka asubuhi hakuna pa kupita.Kuna majimbo ya makondoo ila sio arusha,mbeya mjini na iringa mjini ,ukitamka vinginevyo watu wanaingia barabarani