julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
She is pretty girl, cute, good looking, portable but talkative!!!!!
Alinitembelea leo mtaani kwangu baada ya mawasiliano ya hapa na pale! nimempokea saa 6:30 mchana akitokea posta nimemuaga saa 12:58 jioni akielekea kwake!
Ni member mwenye michango mingi na anayeheshimika sana humu MMU! nimefurahishwa na charming yake, i was too fun kwake! neno ahsante kwake limemtawala sana! alipofika om hakusahau kunipa update zake kama! nimefika salama, naenda bafuni kuoga, napika chakula, naomba tuchat!
Humu jamani kuna warembo na wanavyoongea humu ni tofauti na caring wanayoonyesha nje ya jukwaa! Nami nakushukuru kwa kampani yako kama ulivyofanya ulipofika kwenu , i like that!
Wanaume wenzangu msiwachambe wadada, ndio ombi kaniomba niwambie katumia msitari wa kidini kuwa niwambie tulielezwa "tuwapende nao watutii" naomba tusiwakere kwa kweli ni warembo na wanatukubali jamani tuwaheshimu naye nimempa kazi hiyo ya kurejesha heshima yetu toka jinsia yake!
Alinitembelea leo mtaani kwangu baada ya mawasiliano ya hapa na pale! nimempokea saa 6:30 mchana akitokea posta nimemuaga saa 12:58 jioni akielekea kwake!
Ni member mwenye michango mingi na anayeheshimika sana humu MMU! nimefurahishwa na charming yake, i was too fun kwake! neno ahsante kwake limemtawala sana! alipofika om hakusahau kunipa update zake kama! nimefika salama, naenda bafuni kuoga, napika chakula, naomba tuchat!
Humu jamani kuna warembo na wanavyoongea humu ni tofauti na caring wanayoonyesha nje ya jukwaa! Nami nakushukuru kwa kampani yako kama ulivyofanya ulipofika kwenu , i like that!
Wanaume wenzangu msiwachambe wadada, ndio ombi kaniomba niwambie katumia msitari wa kidini kuwa niwambie tulielezwa "tuwapende nao watutii" naomba tusiwakere kwa kweli ni warembo na wanatukubali jamani tuwaheshimu naye nimempa kazi hiyo ya kurejesha heshima yetu toka jinsia yake!