Mrembo wa jf

Mrembo wa jf

wanaume wa aina hii duh!!!!!!!!!! kujitambua ni kazi sana, akili kweli ni nywele maana kila mtu na zake! unajua ulicho kisema? uso wa mbuzi unaujua? unajua mapungufu uliyo nayo regardless na huo muonekano wako usiofanana na uso wa mbuzi! unaweza pitia post zote ukafanya tathimini kama ulikuwa unaelewa hata unacho kiongea! busara unayofikiri watu huwa wanasema unayo iko wapi? jiheshimuni mnapoheshimiwa! unajua wanaume kama mabinti ni watu kama nani waliimbiwa zaidi ya aina yako?
be smart inamaana kila mwanaume aliyekuja na thread ya aina hii ana sura ya mbuzi? hivi akili hapa imetumika au kamasi!

iam talking to you watu8... do you hear me watu8..?

usiongee mak***si watu8..!!
 
Last edited by a moderator:
She is pretty girl, cute, good looking, portable but talkative!!!!!
Alinitembelea leo mtaani kwangu baada ya mawasiliano ya hapa na pale! nimempokea saa 6:30 mchana akitokea posta nimemuaga saa 12:58 jioni akielekea kwake!
Ni member mwenye michango mingi na anayeheshimika sana humu MMU! nimefurahishwa na charming yake, i was too fun kwake! neno ahsante kwake limemtawala sana! alipofika om hakusahau kunipa update zake kama! nimefika salama, naenda bafuni kuoga, napika chakula, naomba tuchat!
Humu jamani kuna warembo na wanavyoongea humu ni tofauti na caring wanayoonyesha nje ya jukwaa! Nami nakushukuru kwa kampani yako kama ulivyofanya ulipofika kwenu , i like that!
Wanaume wenzangu msiwachambe wadada, ndio ombi kaniomba niwambie katumia msitari wa kidini kuwa niwambie tulielezwa "tuwapende nao watutii" naomba tusiwakere kwa kweli ni warembo na wanatukubali jamani tuwaheshimu naye nimempa kazi hiyo ya kurejesha heshima yetu toka jinsia yake!

Kwa JF huyo ni mmoja in 100
 
iam talking to you watu8... do you hear me watu8..?

usiongee mak***si watu8..!!

napenda ku-admit makosa yenye uhalisia anza mwanzo anaropoka uone kama alisoma thread na kuielewa au alitokea kwenye gongo? mimi huwa nina huluka moja silei wala sidanganyi mtu nampa zake muda wowote na kwa namna yeyote ile! onyesha kosa na kuwa huru kulitetea si unakurupuka unatokea kwenye konyagi zako za viloba unachangia upuuuzi na kudhalilisha hata asiyestahili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
She is pretty girl, cute, good looking, portable but talkative!!!!!
Alinitembelea leo mtaani kwangu baada ya mawasiliano ya hapa na pale! nimempokea saa 6:30 mchana akitokea posta nimemuaga saa 12:58 jioni akielekea kwake!
Ni member mwenye michango mingi na anayeheshimika sana humu MMU! nimefurahishwa na charming yake, i was too fun kwake! neno ahsante kwake limemtawala sana! alipofika om hakusahau kunipa update zake kama! nimefika salama, naenda bafuni kuoga, napika chakula, naomba tuchat!
Humu jamani kuna warembo na wanavyoongea humu ni tofauti na caring wanayoonyesha nje ya jukwaa! Nami nakushukuru kwa kampani yako kama ulivyofanya ulipofika kwenu , i like that!
Wanaume wenzangu msiwachambe wadada, ndio ombi kaniomba niwambie katumia msitari wa kidini kuwa niwambie tulielezwa "tuwapende nao watutii" naomba tusiwakere kwa kweli ni warembo na wanatukubali jamani tuwaheshimu naye nimempa kazi hiyo ya kurejesha heshima yetu toka jinsia yake!
Mkuu Julius, hongera sana!. Hii iliishawahi nitokea nikiwa Arusha, mrembo fulani wa jf, alipandia pm, hatimaye tulionana!. Sometimes jf is for real!.
P.
 
hongera mwaya
thread kama hizi ni adimu sana hapa siku hizi
hongera kwa kuona mazuri hayo
 
...labda waliongea na muhusika kamruhusu kuanzisha thread hapa ali mradi hamtaji kwa ID yake, sioni tatizo kama wahusika wenyewe wamekubaliana.

same to mi.

btw watu hatuna jema.
wakileta uzi wa kuponda tunakuja juu
za kucfia nazo the same. !!!????

mbombo jilipo. lol
 
Aisee mkuu julius mahinya, kwanza hongera sana kwani naona mtego wako kwa mademu umeanza kunasa! Najua wataingia mkenge wengi, nakusihi tu usiwaumize watoto wa watu (hii ni kwa mjibu wa avatar yako inayoonyesha unasaka mchumba plus your signature, teh teh teh)! Dah, wanaume tuna gia nyingi kweli za kumwingia mwanamke, mara wengine tunawafananisha na dada zetu (refer Mkunde Original)
She is pretty girl, cute, good looking, portable but talkative!!!!!
Alinitembelea leo mtaani kwangu baada ya mawasiliano ya hapa na pale! nimempokea saa 6:30 mchana akitokea posta nimemuaga saa 12:58 jioni akielekea kwake!
Ni member mwenye michango mingi na anayeheshimika sana humu MMU! nimefurahishwa na charming yake, i was too fun kwake! neno ahsante kwake limemtawala sana! alipofika om hakusahau kunipa update zake kama! nimefika salama, naenda bafuni kuoga, napika chakula, naomba tuchat!
Humu jamani kuna warembo na wanavyoongea humu ni tofauti na caring wanayoonyesha nje ya jukwaa! Nami nakushukuru kwa kampani yako kama ulivyofanya ulipofika kwenu , i like that!
Wanaume wenzangu msiwachambe wadada, ndio ombi kaniomba niwambie katumia msitari wa kidini kuwa niwambie tulielezwa "tuwapende nao watutii" naomba tusiwakere kwa kweli ni warembo na wanatukubali jamani tuwaheshimu naye nimempa kazi hiyo ya kurejesha heshima yetu toka jinsia yake!
 
Malengo yako yalikuwa nini?

kama ulimanisha malengo ya kuleta thread hii nimeisha eleza kama ulimanisha kukutana nae kuwa zaidi ya marafiki maana tulikuwa marafiki wa kawaida!
 
She is pretty girl, cute, good looking, portable but talkative!!!!!
Kuna watu wanaongea kizungu nyie wacheni tu.

Kwenye mada narudi, huyo mwanamke unasema anaheshima sana na anaheshimika, kwakweli mimi nimeisha mdharau kabla hata sijamuona

Mwambie mwanamke anaye heshimika hafati wanaume kwao mpaa siku kaolewa na huyo mwanaume.
 
Back
Top Bottom