Mrembo wa jf

Mrembo wa jf

kumbe umu kuna wadau yani mnakuaga very serious mnataka kuonana behind the keyboard..
dooh nikipata mda kama uo nami ntalifanyia kazi,,
binafsi umu nao onana nao ni kibiashara tu kutoka matangazo madogo madogo,,
ila adi kuonana eti kama mdau apo juu..mmmh sijui lakini,,nikiachwa na mama watoto maybe ntarejea ku search adi wamitandao
#curiousity killed a cat
 
bibi mbona unaishia kushangaa! bila haya wajukuu zako wanakaangana kila siku bora amani ilejee kama enzi zile za wewe na babu! sio kila siku tunaishia kuchambana me v/s ke! ifike siku tunasifia kama hivi!
japo ninacho kishangaa mimi kumbe tukiwasifia tena munaoneana wivu nilimwambia mjukuu wako leo hapa ananitumia sms anasema mimi ni mtabiri! lakini nilijua ndivyo mlivyo matajiri wa wivu wachoyo wa kupendana wenyewe kwa wenyewe!
Hilo tatizo litawatafuna sana!!!!!!!

Khaaaa umeanza vizuuuri sasa umeanza kutuponda shemeji vp?? Achana nao endelea kutupenda nasi tutakutii kama alivyokwambia Dada yetu!!
 
bibi mbona unaishia kushangaa! bila haya wajukuu zako wanakaangana kila siku bora amani ilejee kama enzi zile za wewe na babu! sio kila siku tunaishia kuchambana me v/s ke! ifike siku tunasifia kama hivi!
japo ninacho kishangaa mimi kumbe tukiwasifia tena munaoneana wivu nilimwambia mjukuu wako leo hapa ananitumia sms anasema mimi ni mtabiri! lakini nilijua ndivyo mlivyo matajiri wa wivu wachoyo wa kupendana wenyewe kwa wenyewe!
Hilo tatizo litawatafuna sana!!!!!!!

tehe ...
 
Wadada warembo wapo tena wengi tu humu na wanajiheshimu.
 
Back
Top Bottom