Mrembo wa jf

Mrembo wa jf

he watoto bana

bibi mbona unaishia kushangaa! bila haya wajukuu zako wanakaangana kila siku bora amani ilejee kama enzi zile za wewe na babu! sio kila siku tunaishia kuchambana me v/s ke! ifike siku tunasifia kama hivi!
japo ninacho kishangaa mimi kumbe tukiwasifia tena munaoneana wivu nilimwambia mjukuu wako leo hapa ananitumia sms anasema mimi ni mtabiri! lakini nilijua ndivyo mlivyo matajiri wa wivu wachoyo wa kupendana wenyewe kwa wenyewe!
Hilo tatizo litawatafuna sana!!!!!!!
 
Hahahaa haaaa
hili nalo neno
mpendwa pitia comment zangu kwenye uzi huu utagundua hilo nalo si neno!

[h=3]
icon1.png
Re: "uume siyo pesa"[/h]
 
Mhhhh!!!! Hahahahaha lol! haya banaa....Hongera zako maana umepambwa ile mbaya na ukapambika. Mtu anayependa kusema ahsante humu ndani mie namjua nahisi ni yeye. Anasema ahsante karibu mara milioni kwa siku 🙂🙂

:violin::violin::violin:

mmmh!! mtaje nikwambie kama kweli ndio huyo..
 
aiseeeee nashukuru umemwambia! maana ufahamu ni tatizo siku hizi humu mmu!

mkuu naona pengine ujanielewa . kifupi sijapingana na aliloliandika watu8 maana na mimi na shangaa kama yeye.
 
Last edited by a moderator:
Au ME wanaokutana nao sura ka uso wa mbuzi...in short hakuna cha kusifia...

hahaha watu8 umeniacha hoi nikifikiri uso wa mbuzi hahaha daa.
 
Last edited by a moderator:
kama nilivyo mwambia mwenzenu wenyewe hampendani mnataka tuwapende! mwenzako kusifiwa unaona karaha!ulitaka nikusifie wewe ambaye sikufahamu!

Sasa karaha niliyoonesha hapo ipi hebu soma post yangu vizuri.
 
mkuu naona pengine ujanielewa . kifupi sijapingana na aliloliandika watu8 maana na mimi na shangaa kama yeye.

Nilifanya kusudi kwa kuwa ujumbe ulikuwa tata lakini pia nilipingana naye hasa anapotaka kuni-drag down into his level in which he has experienced a lot ili ani-defeat na wtu wa aina hii mimi najua matatizo yao!!!!! na nilazima wawepo ili kujua Mungu ni nani bila watu hawa hatutamkubali Mungu ni muweza wa yote!
 
Kwi kwi kwi kwi hiyo ni siri yangu ila nilimuona akichungulia hapa huku akiwa na tabasamu la nguvu kwa jinsi alivyopambwa. 🙂

mmmh!! mtaje nikwambie kama kweli ndio huyo..
 
Au ME wanaokutana nao sura ka uso wa mbuzi...in short hakuna cha kusifia...

wanaume wa aina hii duh!!!!!!!!!! kujitambua ni kazi sana, akili kweli ni nywele maana kila mtu na zake! unajua ulicho kisema? uso wa mbuzi unaujua? unajua mapungufu uliyo nayo regardless na huo muonekano wako usiofanana na uso wa mbuzi! unaweza pitia post zote ukafanya tathimini kama ulikuwa unaelewa hata unacho kiongea! busara unayofikiri watu huwa wanasema unayo iko wapi? jiheshimuni mnapoheshimiwa! unajua wanaume kama mabinti ni watu kama nani waliimbiwa zaidi ya aina yako?
be smart inamaana kila mwanaume aliyekuja na thread ya aina hii ana sura ya mbuzi? hivi akili hapa imetumika au kamasi!
 
Bi dada hongera,, umepambwa mizinga yetu ikianza sasa.....

Aisee mmeogopeshwa na wanaume wanaotongoza next level huku wako previous level sasa naona mizinga ni tishio! najua nini mwanamke anasitahili na ni wakati gani anasitahili!
 
Back
Top Bottom