Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Inasemekana kwamba Mtendaji Mkuu wa TANROADS Ephraem Mrema yupo katika wakati mgumu ambapo atamaliza muda wake kesho tarehe 3 June 2010.
Habari zilizopatikana katika gazeti la Tanzania Daima zimeeleza kuwa, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) wanamsubiri kwa hamu ili aweze kujibu tuhuma zake.
Tuhuma zinazomkabili ni pamoja na ufujaji wa fedha, matumizi mabaya ya madaraka na uongozi mbaya. Inasemekana kuwa aliteuliwa na aliyekuwa waziri wa miundombinu Chenge.
SOURCE: Tanzania Daima
Kwa msaada wa JF member Halisi naambatanisha na ushahidi kwa chini:
na
Habari zilizopatikana katika gazeti la Tanzania Daima zimeeleza kuwa, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) wanamsubiri kwa hamu ili aweze kujibu tuhuma zake.
Tuhuma zinazomkabili ni pamoja na ufujaji wa fedha, matumizi mabaya ya madaraka na uongozi mbaya. Inasemekana kuwa aliteuliwa na aliyekuwa waziri wa miundombinu Chenge.
SOURCE: Tanzania Daima
Kwa msaada wa JF member Halisi naambatanisha na ushahidi kwa chini:
na