Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Hawajui shida tunazozipata mtaani kwa sababu wameshapewa mkate wao na ccm
Lazima Mrema na Cheyo watakuwa wana Udini sio bure
Hawajui shida tunazozipata mtaani kwa sababu wameshapewa mkate wao na ccm
Hawajui shida tunazozipata mtaani kwa sababu wameshapewa mkate wao na ccm
Unategemea nini?
Kuifuta CDM ni kuwapa sifa za bure tu. Watanzania wenzangu wapenda amani, Ivumayo huwa haidumu, wananchi watawachoka tu,, nani asiyependa amani,, nani anataka maisha ya ukimbizi? Na tayari watu wameshaanza kuwashtukia. Waacheni kama Mwalimu alivyosema juu ya Mrema wakati ule polisi wanamsumbua. Naomba waachiwe uhuru wooote, waende kote, na polisi wawape ushirikiano mzuri tu, tusiwabague ni wenzetu hao, watasema na maneno yatakwisha, watu tunawaangalia tu.
Maji ya moto hayo, yatapoa tu.[/QUOTE]
wewe unaona hivyo lakini jk wako anaona tofauti...na jk analetewa taarifa na usalama wa taifa,..wameshamwambia kuwa CDM wanakubalika na wataendelea kukubalika,the only way ya kumsimaisha mtu kama slaa ni kumpiga risasi na kumuua kitu ambacho yeye haogopi
Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Ifike mahali watu watumie utaratibu wa misikitini wa kutovumilia wanafiki na kuwaadhibu hata wawe wako msikitini wanatoa mahubiri, hawa wazee wawili sijajua kabisa nafasi zao kwenye siasa maana kwenye upinzani hawapo kwenye CCM mara wapo mara hawapo, hizi ndiyo dalili za unafiki wa hali ya juu ni wasaliti wa Demokrasia, sidhani kama wanajua wajibu wao kama wapinzani ni wasaliti wa hatari, kwenye vikao vya ccm hawa ndiyo waalikwa wa kudumu, hii ni aibu sana!!!!Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
kumbe hawa wazee hawajaanza leo umamuruki kumbe ni wa kitambo sana aisee!Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Hataki mfi.ra.ne.Mrema ni Mtu wa kale aliyepitwa na wakati,hiki ni kizazi kipya na ulimwengu wa Technohama ulimwengu unakimbia kwa kasi sana Mrema,wewe huwezi enzi zako zilipita na laana uliyopewa na Mwalimu Bado inakuandama! Ndiyo maana hata ulipojipendekeza kwa CCM Dodoma walikukejeli tu.
Wafutwe tu maana sio wazalendo.Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Chama cha mabwabwa, Wali nazi. Hivi na yule Babu wa ACT wazalendo mlioungana naye anakubali msimamo wenu?.Hataki mfi.ra.ne.
Mbona mapema sana mmeanza kukataana!Chama cha mabwabwa, Wali nazi. Hivi na yule Babu wa ACT wazalendo mlioungana naye anakubali msimamo wenu?.