Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Naona kila anayetaka kusikika siku hizi lazima azungumzie CDM. Sasa Cheyo na Mrema wakizungumzia mambo ya vyama vyao kuna mwandishi atakayeandika?
Cheyo kasema tunataka mambo ya Misri. Kwani mambo ya Misri ni mabaya? Kuondoa utawala wa kifisadi madarakani ni vibaya? Has Cheyo lost his marbles?
Cheyo kasema tunataka mambo ya Misri. Kwani mambo ya Misri ni mabaya? Kuondoa utawala wa kifisadi madarakani ni vibaya? Has Cheyo lost his marbles?