Ndio maana yake. Kuna kazi sana ya kusukuma demokrasia mbele man. 🤣 🤣 🤣kumbe hawa wazee hawajaanza leo umamuruki kumbe ni wa kitambo sana aisee!
wako sahihi, CHADEMA hawafanyi siasa bali wanafanya mihemko.Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Yaani wewe ndio hao mnaoitwa mahaba niue,huoni kuwa kuweka mtandaoni upuuzi kama huo ni ujinga.Mbona mapema sana mmeanza kukataana!View attachment 1590401MAGUFULI4LIFE.
Hicho chama kilishakufa, ni suala la muda tu kitafutwa kwa sababu kimekuwa wakala wa mabeberu, yaani ukimsikiliza mzungu wao haongelei upinzani bali kikundi cha huyo kibaraka lisu. Na kila anayehusika na hicho kikundi mpaka sasa yupo black listed ili kuona mienendo yao maana wanajiapiza kuleta vita, kuleta machafuko, etc, hivyo wajijue Tanzania ilishiriki harakati za ukombozi na timu hiyo hiyo yenye vinasaba hivyo hivyo bado ipo na iliwashinda makaburu na US na ulaya yote iliyokuwa inashabikia makabulu sembuse mjinga mmoja na lisu na mzungu wake? Hakika hawawezi kuiyumbisha Tanzania.Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Tunawajadiri leo kwa kuwa juzi ndio vyama vyao vimepiga kura kusimamisha kampeini za Lisu,ili kuweka kumbukumbu sawa lazima mafaili yapekuliwa tujue wahusika rekodi zao za nyuma zikoje,kwa hali hiyo ni matumizi sahii ya muda ili na wao wajue kuwa tunajua then hakuna jipya, na pia ni muhimu watu wakajua uamuzi uliotolewa ni wa kimaslahi na kimahaba zaidi kuliko kanuni na sheria.Kumjadili Mrema na Cheyo katika siasa za sasa za Tanzania na mambo mengi tuliyo nayo ni matumizi mabaya ya akili na muda!!!
Kwanini CCM kuongea matusi mmeacha lini?Inavyoonekana ndani yachadema kwasasa hakuna viongozi mahiri wa kuendesha siasa km kipindi cha akina Dr w.slaa.
Maana kuanzia mikutano yao..matusi
Kwenye mitandao ya kijamii...matusi
Kwenye media....matusi
Nataka niwakumbushe chadema.
Haya 2015 mliongeza wabunge bungeni kwa sababu ya ustraabu wa Lowasa.
Km hamtabadirika kuanzia kwenye mitandao, midia, mikutano ynu nk. Mnaenda kukiua chama.
Maana kwa sasa nirahisi sn kumjua mwanachadema kuanzia namna ya kuongea, kuchangia hoja, mpaka kiuandishi.
Shime shime chadema badirikeni.
Hayo ni mawazo yao wana haki so long it is a democratic country. Tuheshimu katiba msiwashambulie.Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
nguvu ya kwenye keyboard...huna loloteWaache waifute ndipo watagundua kuwa watanzania wa leo sio mabwege tena. Wataikaribisha hali ya Libya mlangoni mwetu kwa spidi kubwa ya ajabu wakijaribu kufanya hivyo. Wanaweza kutuua kwa risasi za moto wafuasi wa CHADEMA wote lakini matokeo ya kufanya hivyo bado yatafanya wasifurahie maisha tena hasa ukizingatia muundo wa jamii za taifa letu ulivyo.
Mungu wangu eee! Si ndio mnachokipigania na mgombea wenu.Au ndo ile kukataana.Yaani wewe ndio hao mnaoitwa mahaba niue,huoni kuwa kuweka mtandaoni upuuzi kama huo ni ujinga.
Mrema the longtime dead wood!! Cheyo the political entrepreneur!! Zero impact to democracy. The dying horses normally might be dangerous. However these ones are finished with through multiple shipments including HIv and AIDS AND DIABETES.Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Wote hao wanapata bahasha toka CCM.Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Bila maradhi yoyote yale, akili ya mwanadamu inakuwa active 100% hadi age ya 70. baada ya hapo inaaza kurudi reverse !! Kwa hiyo ni suala kuwasamehe tu hawa wazee wetu.Mrema the longtime dead wood!! Cheyo the political entrepreneur!! Zero impact to democracy. The dying horses normally might be dangerous. However these ones are finished with through multiple shipments including HIv and AIDS AND DIABETES.
Wrote hao in wagonjwa wasameheWadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Wasiwe na wasiwasi tunakifuta tarehe 28Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...