Mrema amekomaa kisiasa.
Mrema ana akili sana tena huenda zaidi ya hao mnaodhani wanaakili. Ameifanyia nchi mambo mengi yenye faida kwa Taifa hili . Hao akina Mbowe wamefanyia nini Taifa hili
Niaibu aibu kwa Mbowe kusema hata niteua uwaziri kivuli Mbowe alishaa kuwa nani katika nchi hii mm sitaki kuwa kivuli nataka uwaziri kamili
Nimewahi kuwa NAIBU waziri mkuu na waziri Wa mambo ya ndani
Kuniita kibaraka Wa ccm ni kunipaka matope kibaraka Wa ccm ni seifu Wa Zanzibar anayelipwa na ccm mpaka sasa
Chanzo TBC live muda huu
View attachment 156372Ameongea yote hayo kutokana na michango hii......
mkuu anachohoji mrema ni kwa nini mbowe aoneshe kuwa na uwezo wa kuteua watu wakati hana sifa ya kuteua watu na kumwita yeye ni kibaraka wa ccm kwanini kibaraka asiwe katibu mkuu wa cuf anayelipwa na serikali ya ccm.
Naona mmeanza matusi sasa ugonjwa unahusiano gani na uwaziri kivuli hata wewe unaweza kuugua.
Lakini pia katoa maneno makali kidogo kwa mbowe kwa kumwambia kuwa amkome kabisa wala asimfuatefuate.
Hii nayo ni point ya muhimu sana. Tatizo hawa vijana hawaelewi historia ya nchi hii.
Hapo CCM walikuwa wanamchangia pesa za kwenda kuchukua form za ubunge, utumwa aina hii siko tayari.
Niaibu aibu kwa Mbowe kusema hata niteua uwaziri kivuli Mbowe alishaa kuwa nani katika nchi hii mm sitaki kuwa kivuli nataka uwaziri kamili
Nimewahi kuwa NAIBU waziri mkuu na waziri Wa mambo ya ndani
Kuniita kibaraka Wa ccm ni kunipaka matope kibaraka Wa ccm ni seifu Wa Zanzibar anayelipwa na ccm mpaka sasa
Chanzo TBC live muda huu
Huyu mzee nafikiri hata kumjadili ni kupoteza muda. Hao CCM wenyewe wanamdharau ila wanamtumia kipropaganda. Unakumbuka uchaguzi mkuu wa 2010? Kama mwenyekiti wa TLP anasimama kujiombe kura halafu za urais anasema wampe JK na wamuache yule wa TLP. Mtasema yuko timamu kweli huyo?
Sent from my iPad using JamiiForums