Mrema amekomaa kisiasa.
Na huo ndo upinzani,Mrema mkomavu wa kisiasa sio hawa tulioambiwa ni wagonjwa wa akiri wanapayuka hovyo hovyo.
Mrema amekomaa kisiasa.
Naona mmeanza matusi sasa ugonjwa unahusiano gani na uwaziri kivuli hata wewe unaweza kuugua.
Mrema ni kibaraka wa Magamba(CCM) nani asiyejua?Niaibu aibu kwa Mbowe kusema hata niteua uwaziri kivuli Mbowe alishaa kuwa nani katika nchi hii mm sitaki kuwa kivuli nataka uwaziri kamili
Nimewahi kuwa NAIBU waziri mkuu na waziri Wa mambo ya ndani
Kuniita kibaraka Wa ccm ni kunipaka matope kibaraka Wa ccm ni seifu Wa Zanzibar anayelipwa na ccm mpaka sasa
Chanzo TBC live muda huu
Niaibu aibu kwa Mbowe kusema hata niteua uwaziri kivuli Mbowe alishaa kuwa nani katika nchi hii mm sitaki kuwa kivuli nataka uwaziri kamili
Nimewahi kuwa NAIBU waziri mkuu na waziri Wa mambo ya ndani
Kuniita kibaraka Wa ccm ni kunipaka matope kibaraka Wa ccm ni seifu Wa Zanzibar anayelipwa na ccm mpaka sasa
Chanzo TBC live muda huu
Akizungumza na jambo tanzania mrema ambaye pia ni mbunge wa vunjo kwa tiketi ya chama chake amesema kuwa mbowe ametangaza kujumuisha vyama vya cuf,na nccr mageuzi lakini akavitosa vyama vya TLP NA UDP mrema amesema yeye haoni umhimu wa kuwepo kwenye hilo baraza la mawaziri vivuli kwanza mbowe hana mamlaka ya kumteua kwa nafasi yoyote.
Lakini pia mrema amekwenda mbali kwa kusema kuwa hataki siasa za makundi badala yake anafanya siasa za kusaidia watanzania siyo siasa za kuumiza watanzania kama wanavyofanya chadema kwenye siasa zao.
Mrema amemwambia mbowe kuwa amkome na aachane naye kabisa hataki kufuatwa fuatwa na wanasiasa wasiokuwa na sifa za kuwa wanasiasa kama mbowe.
kwenye mahojiano hayo ya asubuhi ya leo mrema amesema hagombei urais tena biashara za jumla hataki sasa anafanya biashara za rejareja,ameongeza kuwa kama mtu anataka kumteua amteue uwaziri kamili siyo kivuli kwanza kivuli ndiyo nini! alihoji mh mrema.
Mrema siyo habari kwa sasa! He is a worn out puppet! SHAME ON HIM!!!!!!
si mjue kuwa uwaziri Kivuli hauna maana kwake na kuwashangaa wanaoushobokea kama akina Mbowe
Unajua kuwa uwaziri kivuli upo kisheria au ni wehu wako tu?
kwani mboe amesema atajumuisha kuteua na wabunge wa chama cha mrema?????
Mrema amekomaa kisiasa.
njaa ya mrema mbaya sana.
sikutegemea angetamka maneno kama hayo.
et sasa hivi anaunga mkono ccm!
what a byach!!
Hivi bado kuna watanzania wenye shauku eti mrema kasema nini?Lakini pia katoa maneno makali kidogo kwa mbowe kwa kumwambia kuwa amkome kabisa wala asimfuatefuate.
Mrema amekomaa kisiasa.