NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 600
Niaibu aibu kwa Mbowe kusema hata niteua uwaziri kivuli Mbowe alishaa kuwa nani katika nchi hii mm sitaki kuwa kivuli nataka uwaziri kamili
Nimewahi kuwa NAIBU waziri mkuu na waziri Wa mambo ya ndani
Kuniita kibaraka Wa ccm ni kunipaka matope kibaraka Wa ccm ni seifu Wa Zanzibar anayelipwa na ccm mpaka sasa
Chanzo TBC live muda huu
Hata akikaa kimya hawezi kupewa. hii ni defence mechanism ili aonekane alikataa mwenyewe lakini anajishtukia kwamba hana chake hapo.