RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,394
sie wasomaji wa raia mwema na mwanahalisi tuna uwezo wa kusoma gazeti zima mpaka ukurasa wa michezo.....na sie wanafunzi wa chachage tumefundishwa kusoma kuanzia kitabu cha max volume ya kwanza mpaka ya mwisho ili ijubi swali moja la chachage....kusoma kwetu si tabu au adhabu ni kuongeza maarifa na ujuzi
kumbuka hakuna generalization....hakuna sisi 'watanzania wavivu' wa kusoma ......kuna mtanzania mmoja mmoja mvivu wa kusoma....siwezi kugeneralizi taarifa za kijiji kimoja tu sembuse taifa
mix with yours
Kwapani nimeipenda sana hii, mvivu yeye.
Lakini umesahu kuweka Mh. Dokta Mrema, kweli udakitari karne hii una wenyewe.
Dokta Mrema, Dokta Kikwete, Dokta Lwakatare, Dokta Realman............