Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,028
- 2,252
Hongera sana mkuu! Umekua mfano wa binadamu kamili!
Asante sana mkuuHongera sana mkuu! Umekua mfano wa binadamu kamili!
Mkuu, pongezi kubwa kwako, na mola akuongoze wewe na kizazi chako.Majuzi nilileta uzi humu kwamba kuna pesa nimezipata kwenye ATM nilipokwenda kufanya muamala usiku. Pesa hizo ziliachwa na mtu ambaye naamini alikua amezidiwa na kilevi
Nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti kuhusiana na ama kuzitumia au kumrejeshea pesa hizo muhusika ambaye kwakweli simjui hadi muda huu. Nimeuthamini sana sana ushauri wote niliopewa na wadau humu jukwaani na hata PM, na naomba Mola Awabariki wote waliotoa maoni kwani naamini walikua na nia njema hata wale walioniponda kwamba eti hii ni chai
Jana Jumatatu nilikwenda kuonana na Relationship Manager wangu na akaniambia wakati wanashughulikia hilo jambo niziweke hizo pesa kwenye account yangu wao wata zi block/hold na watu wa reconciliation watajua ni za wapi na kama kuna complain yoyote na mwisho wa siku watanijulisha
Nilipongezwa na kushukuriwa kwa hatua niliyochukua na kwamba imenijengea imani. RM wangu akanambia yapo matukio machache ya namna hiyo yanatokea na mara zote watu huwa wanasepa na pesa lakini huishia kujulikana na kuaibika maana camera na technolojia zingine zikitumika itajulikana tu. Akasema kuna Mbunge tena alishawahi kua Waziri miaka ya nyuma aliumbuka baada ya kuondoka kwenye ATM na pesa zisizokua zake!!!
Bado sijapigiwa simu wala kwenye simu yangu hakujaingia ujumbe wowote wa kuonyesha kufanyika kwa muamala wowote lakini nahisi nimeutua mzigo flani uliokua unanipa wasiwasi na shauku ambayo siwezi kuilezea
Mkuu uliyesahau pesa zako ATM tuwasiliane uweze kuzichukua - JamiiForums
Aamin, Mola Atuongoze sote mkuu, pamoja na vizazi vyetuMkuu, pongezi kubwa kwako, na mola akuongoze wewe na kizazi chako.
Aamin.Aamin, Mola Atuongoze sote mkuu, pamoja na vizazi vyetu
Halafu inamsaidia niniHongera mkuu siku zote uaminifu ni mtaji,haijalishi uwe tajiri au masikini ukiwa muaminifu basi umejenga mtaji wa kuaminiwa na watu.
Ni kweli mkuu uaminifu ni ibada, shukran sanaUaminifu ni ibada na nguzo muhimu katika ustawi wa jamii kwa ujumla. umefanya la maana.
Wengine huna sababu ya kuwajibu, waache tu waongee. Binafsi bado napendekeza tena, kama kuna watu hua wanakua black listed kwa makosa yao, tuanzishe pia kitengo cha ku white list watu kwa mema yao" You need to be white listedUshamba saa zingine unaokoa ndugu yangu, hata kama ningetumia hizo pesa ingejulikana wangekata kwenye akaunti yangu kiulaiiini kabisa mkuu
Thanks mkuuNi jambo zuri kukataa kula kisicho chako
Thanks mkuuBig up kwa uaminifu mkuu kiasi hiki mkuu
Wewe ungerudisha?Wala usijifie sana, una moyo mzuri bro. Keep it up.
Ila atm zote zina kamera lazima wangekukamata
.
Umaskini unakusumbua sanaWe sio msamalia mwema bali ni mshamba tu, unarudishaje hela ya mlevi? mimi ningeenda kutoa kwa watu wenye mahitaji maalumu kama yatima, wenye ulemavu n.k, Huyo mlevi hata hajui kama siku hiyo alienda ATM. Ye anachojua pesa aliyokua nayo alihonga yote.
😀😀😀😀Hongera kwa uaminifu mpo wachache, niwe mkweli ningezitumia tu
Mkuu nimeelimishwa kuhusu hiliMkuu wazo langu ni kuwa km una lengo la kumsaidia kwa nn usien branch ulotoa hela uwape muda ulionda bank,bila shaka transaction yake ilitangulia yako si watamjua mwenye a/c hiyo?