Jaman naomba nije inbox kuna elimu natakaHuo uchawi upo mbele ya Ilula, kijiji kimoja kinaitwa Nigeria ndogo (jina lake la Aslil nimesahau), wapo wataalam wakinga hapo ni balaa ila ni wa kweli. Sema uchawi wa kikinga wengi hawautaki, una masharti zaidi ya magumu yaani. Nishafika huko kipindi najitafuta, acha mzee, maisha haya tushateseka sana, mtu akikukuta unajipata anatamani ila njia ni ngumu sana.
mkuu nime kupmmkuu naomba unitumie namba pm ya huyo mtaalam ninashida kwakwel
Mkuu tupe mrejesho, umefikia wap sfar yako ya uatajir wa ulozi?
Sasa mkuu huu wa punje kumbe tena una ambatana na masharti mengine?mm nikajua Kwa vile ni kujitoa kimkataba hatuna cha ziada?Huo uchawi upo mbele ya Ilula, kijiji kimoja kinaitwa Nigeria ndogo (jina lake la Aslil nimesahau), wapo wataalam wakinga hapo ni balaa ila ni wa kweli. Sema uchawi wa kikinga wengi hawautaki, una masharti zaidi ya magumu yaani. Nishafika huko kipindi najitafuta, acha mzee, maisha haya tushateseka sana, mtu akikukuta unajipata anatamani ila njia ni ngumu sana.
umejuaje kama ni upupu huenda ushakuwasha maeneoHawa wanataka utajiri wa ndagu sio zindiko za kukuza biashara, ukijua tofauti huwezi andika huo upupu ulioandika.
Una kichaaa wewe,hao waganga wenyewe ndio hawataki utajiri??? Si wangeanza kijitajirisha wao kwanza??? Pambana hizo Hela unazopeleka Kwa waganga geuza zowe mtaji,halafu huna nyota ya utajiri yaaan wewe itakufa na Hela za mboga tuuuuuNdugu zangu maisha sio kutafutana, maisha ni kutafuta, mwanaume kama huna pesa, basi niseme maisha yako yatakua ya hovyo na utakufa ukiwa na uchungu sana..
Safari ni ndefu sana iliyojaa tabu shida na changamoto kubwa sana, nasema ukimuona tajiri ana pesa zake tafadhali mpe heshima yake bila kinyongo.
Nidiriki kusema wakuu nishavuka mto na mtumbwi kwenda tu kusaka utajiri, nshavuka mkondo wa maji yanayoenda kasi nikiwa na bodaboda, yote kusaka utajiri, kote huko unaenda na unapitia shida ila unakuta ni wasanii tu, nimepiga hadi zambia unaingia kwa mtaalam unakuta mijoka, malawi sijui chitipa, ileje, tunduma, kote huko usanii tu hamna lolote, na unakuta konekshen unapata humu humu, kumbe watu wana lao jambo, wengi huku ni matapeli, na konekshen unakuta unapewa na members humu wengine ni maarufu kabisa ila kumbe unakuja gundua ni wasanii tu, na mishe zao mjini za kisanii yan wanaish kwa deiwaka!
Ila naamin kuna mataita wanaoeleweka wenye konekshen za ukweli humu sio rahis wakupe konekshen mana wanakuangalia kama wewe ni mtu umedhamiria au hoya hoya tu, kwaio wale wenzangu na mimi mnaotafuta hizi konekshen msifikirie ni jambo rahisi sana, na pia niwape ushaur tusikate tamaa, ilibaki kidogo nijiunge freeemason, hadi kidogo kujiunga na secret cults za huko nigeria, ila sjui ndio msemo wa ng'ombe wa maskini hazai, dah!,
Binafsi najua humu kuna mataita kwaio bado sijakata tamaa naendelea kusaka utajiri , umaskini hauzoeleki mataita nisaidieni koneksheni.
Nikufuate wapi mkuu unielekeze cha kufanyaMbona shida yako ndogo hivyo, bagamoyo tu unamaliza.
Kaka nicheck pmNicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.
Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi
Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..
Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.
Utawasiliana nae zaidi.
Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi
Nini kilikuzuia kujiunga freemason?Ndugu zangu maisha sio kutafutana, maisha ni kutafuta, mwanaume kama huna pesa, basi niseme maisha yako yatakua ya hovyo na utakufa ukiwa na uchungu sana..
Safari ni ndefu sana iliyojaa tabu shida na changamoto kubwa sana, nasema ukimuona tajiri ana pesa zake tafadhali mpe heshima yake bila kinyongo.
Nidiriki kusema wakuu nishavuka mto na mtumbwi kwenda tu kusaka utajiri, nshavuka mkondo wa maji yanayoenda kasi nikiwa na bodaboda, yote kusaka utajiri, kote huko unaenda na unapitia shida ila unakuta ni wasanii tu, nimepiga hadi zambia unaingia kwa mtaalam unakuta mijoka, malawi sijui chitipa, ileje, tunduma, kote huko usanii tu hamna lolote, na unakuta konekshen unapata humu humu, kumbe watu wana lao jambo, wengi huku ni matapeli, na konekshen unakuta unapewa na members humu wengine ni maarufu kabisa ila kumbe unakuja gundua ni wasanii tu, na mishe zao mjini za kisanii yan wanaish kwa deiwaka!
Ila naamin kuna mataita wanaoeleweka wenye konekshen za ukweli humu sio rahis wakupe konekshen mana wanakuangalia kama wewe ni mtu umedhamiria au hoya hoya tu, kwaio wale wenzangu na mimi mnaotafuta hizi konekshen msifikirie ni jambo rahisi sana, na pia niwape ushaur tusikate tamaa, ilibaki kidogo nijiunge freeemason, hadi kidogo kujiunga na secret cults za huko nigeria, ila sjui ndio msemo wa ng'ombe wa maskini hazai, dah!,
Binafsi najua humu kuna mataita kwaio bado sijakata tamaa naendelea kusaka utajiri , umaskini hauzoeleki mataita nisaidieni koneksheni.
Shafii the Don nakipa Hadi namba yake uwe na m 3,anachinja ng'ombe anazikwa mzima funza ndo mpango mzima mimi niliahirisha alikuja hapa VamousMwanza sehemu gani na yeye amajikita kwenye utajiri wa masharti yapi?
CHAI.Kuna mganga aliwahi kuniambia hizi dawa nakupa,Mungu akusaidie mambo yako yakae sawa..nilivyotoka kwake nikajiuliza kumbe mganga nae anamtegemea Mungu sasa kwa nini nisimuombe Mungu me mwenyewe ,ile midawa yake nikaitupa palepale
Tafuta vitumbuqCHAI.
Hii ni kwel mkuu Mimi nimewapa wengi namba ya bibi wa dawa ya vidonda vya tumbo na matatizo ya kupata Mimba ajabu hawalet mrejesho hatakusema thanks jamani duhSema nini wakuu?? Humu kinachowaponza ni mambo madogo madogo. Hasa haya:
1 KUTOKUWA NA SIRI.
2 KUDHANIA KILA MTU NI TAPELI.
Kuna watu nishawahi kuwapq offer ya madude ya kuvuta wateja dukani, hahaha wakadhani nataka kuwatapeli.
Mwingine anakuja pm anataka umsaidie jambo fulani, unampa ABC, akishaona tu ujumbe na kuusoma anaishia mitini, hakuna cha asante wala mrejesho.
Nishawahi kujitolea kuwapa wasichana dawa ya kuchoma dukani kuvuta wateja dukani and IT WORKS 100%, I don't know how and why it works but IT WORKS 100%.
Nikawaambia hii sio ya kuwauzia ila ni ya kuwaonesha, nikawaambia lazima usafiri uje huku niliko na usiwe umeolewa na sitaki malipo yoyote.
Juzi Kati kuna member alianzisha uzi akilia lia anahitaji msaada wa jambo fulani, nikakwambia njoo pm, kuna nikamuelekeza cha KUFANYA, Toka muda huo sijaona ujumbe wowote wa shukrani wala nini.
NYIE WATU MNAJIFANYA KUTAKA MSAADA LAKINI HAMSAIDIKI.
Tunaleta experience zetu bado mtu anasema ni TANGAZO la biashara.!!!!!!!! Kila mtu abaki na anachojua