Mrejesho wa Albadiri

Mbona wakibiti hawakuwafanyia hiyo albadil
 
acha kuogopa
Tokeni na takataka zenu hapa eti Albadili Albadili. Mtasubiri sana hayo matokeo mpaka macho yatawatoka.

Nendeni mkaomboleze na kumzika Diwani vitu Maalum Mbeya mjini Chadema aliyefariki jana
 
Anayesoma ahlulbadr so muislam amekufuru
Mana amevunja nguzo ya kwanza ya uislamu ya kuwa hapana mola apasae kuabudiwa kwa hali ila Allah
Na albadr ni kutaja majna ya maiti ndiyo yakusaidie na cyo Allah, huu, ni ushirikina mukubwa
NB:siyo kila anayejua kiarabu na kuvaa kanzu ni muislam wengne mayahudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…