Mrejesho uzi wa kujilipua

Mrejesho uzi wa kujilipua

Ha ha ha ha eti vi..mb...,kuna wengine hata unga wa Kongo umewagomea lakini utakuta mke kamtunzia siri yeye anatamba barabara kumbe hana lolote je kwa wathungu nyeusi anaweza kusema nyeupe kweli? Acha tuwe ndugu mtazamaji na msilikizaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Atarudi tu huyu wa kwetu mbona, vina muda basi😅😅
 
mbona hueleweki wee malaya.unaniachia?kumbe ulikua unamtaka?mchukuetu Mimi kidume.sawa?🤣
Siku hizi mmechukua nafasi zetu hata hilo la kujiita mwanaume haliniogopeshi mimi,,

Maana ya malaya ni mwanamke asie na bikira,, mama yako yumo kundi hili
 
Jamaa kaleta ishu mtu mwenye kutaka njia aliyotumia jamaa aitimie,watu mnaponda tena mshkaji,ndo mana kuna watu hawatoagi deals hovyo hovyo,mambo kama haya
Ghafla wanamharibia thread kwa matusi masimango na uhuni wa kitoto.
Tumuulize kapanchi vipi na tujiongeze vipi tunaotaka kwenda huko wanajamvi
 
Nenda uje kutueleza naona umekasirika ila ukweli ndio huo.
ulaya ilikuwa zamani sio sasa.na wadogo zangu mpaka pesa ya matumizi inatoka bongo.
Tena wapo USA

USA sio kama ya zamani kwa mgeni America dream ni America waste time.pesa utakazopata zinaishia kwenye magalama ya kodi.

Pili waamiaji kutoka africa wamekuwa wengi mwisho wa siku unakuwa cheap kwenye kazi.

ulaya ni karata tatu 1-mavi 2-jokeri 3-kopa..utachagua
Wabongo kama nyie ndio mataka taka na wapumbavu msio na experience yoyote zaidi ya chuki na makasiriko yenu dhidi ya Diaspora..

Maskini popoma wewe!!!
 
Roho ipi? unakimbia nyumbani. Ulaya ilikuwa zamani sio sasa na tuna watu wameshindwa rudi kwa aibu wakisikia tuna mijengo wao ndio kwanza wanapanga na umri unasogea.
Wewe ni Mpumbavu,mjinga, fala kabisa...kushindwa Maisha kwa watu fulani au mtu fulani haima anishi na watu wengine watafeli kama hao watu wako wapumbavu walioenda ulaya na wakafeli maisha..

Ningekuwa karibu na wewe ninge kuchapa makofi ya kelbuuu....watu kama wewe hamfai kabisa kwenye jamii..

Shame on you!!!
 
Hahahahha... Ni kweli kaka... Ila malengo muhimu.. mimi lengo langu mojawapo ni kuoa mzungu kaka. Siwezi ishi huku halafu nije oa huko kina ndala ndefu... Wapenda pesa hahaha... Huku mademu hawaangalii sana pesa. Huku middle income ni 90% ya population.

Hakuna masikini huku. Huko bongo. Matajiri 1%.. middle income ni 5 halafu inayobaki 94% ni tia maji tia maji. Maendeleo mtayaskia kwenye bomba... Na hivi wanapeana vyeo kifamilia na uchawa hahah. Miaka 800
Mwanangu hiyo verse ya pili umeuwa 😆😂
 
Back
Top Bottom