🤣🤣🤣🤣wee dada sijawshi kukuona ukichangia.ila ulinyoona uzi mtu yupo majuu umekuja kasi Sana nakuchoratu.unavyo ponda wazungu 🤣 eti sio wavumilivu wee mvumilivu umeolewa sasa?
Lord-N hebu nisaidie hapa,, 😅😅😅 nina post 16955 kwenye ubao wa hii ID na ninazo mbili,, utakuwa umekuja juzi humu,,🤣🤣🤣🤣wee dada sijawshi kukuona ukichangia.ila ulinyoona uzi mtu yupo majuu umekuja kasi Sana nakuchoratu.unavyo ponda wazungu 🤣 eti sio wavumilivu wee mvumilivu umeolewa sasa?
Hapa ndo huwa nashangaa, na sio kwako tu...Mbona wapo waafrika weupe peee,hao watu hawawataki ila basi mnalazimisha,
Sio woteHao uliotaja ni wabaguz kaka
🤣🤣chukua jiko Hilo mkuu.nimvumilivu anaweza kula hata dagaa..sijui Kama huko majuu wapo🤣🤣?Hahaha Anatania kaka .. usimzingue dada angu
Sijamzuia nimemshauri kutokana na mifano niliyonayo mingi haifurahishi,,, mwanamke na mwanaume ni tofauti kabisa katika hii ishuHapa ndo huwa nashangaa, na sio kwako tu...
Kwa karibia watu weusi wote duniani.
Mwanaume mweusi akioa au hata kudate tu mzungu watu wanamind na kumpondea, ooh ameolewa, ameuza utu, mara amepotea, nk.
Lakini mwanamke mweusi akiolewa na mzungu haina shida
Mambo ya racism yamepitwa na wakati. Marry who you want
aaa🤣🤣labda unitajie I'd yako nyingine. halafu onyesha heshima acha luga chafu utakosa bahati yakupanda mwewe.Lord-N hebu nisaidie hapa,, 😅😅😅 nina post 16955 kwenye ubao wa hii ID na ninazo mbili,, utakuwa umekuja juzi humu,,
Halafu hata hivyo cha kumpa ninacho wewe je!!
Yaani niwabaya kiasi hicho jamani, kumbuka una dada zako mfano akipata kama huyo mwenzenu utamshauri aachane na wanawake wa kibongo? Sio vizuri jamaniMademu wa kibongo hawafai msimshauri Matatizo watu wengi wamebury dreams , kisa wanawake wakibongo
Wanaroga
Tamaa za Mali
Ombaomba nk. So hawafai
Kuoa mzungu ni kama kuoa mchaga tu, haina tofaut kivileSijamzuia nimemshauri kutokana na mifano niliyonayo mingi haifurahishi,,, mwanamke na mwanaume ni tofauti kabisa katika hii ishu
anawapondea wazungu.fursa apate yeye.bahati mbaya mwana anamuita dada kwaio mishen imebuma.Huyo ana stress za Maisha 😀
Kwamba heshima ili nipendwe humu!!! Nilipo napendeka vya kutosha,,aaa🤣🤣labda unitajie I'd yako nyingine. halafu onyesha heshima acha luga chafu utakosa bahati yakupanda mwewe.
Uo ndo ukweli hawaamini Katika Process so Nina Jamaa zangu wameua ndoto zao kiss ao wabongo hawafai hasa ukiwa unatafuta mafanikioYaani niwabaya kiasi hicho jamani, kumbuka una dada zako mfano akipata kama huyo mwenzenu utamshauri aachane na wanawake wa kibongo? Sio vizuri jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂 hii hoja ni kama kichekesho ila ukija kwenye uhalisia ndio ukweliKomaa kaka... Hyo nchi uchawa unalipa.. sis wengne tulishindwa hilo ndomana tukasepa. Haiwezekan tokea darasaa la kwanza naongoza class tumefika had mavyuo vikuu halaf machawa ndio wanatukimbiza. Ukisifia tu unapewa shavu. Sie wengne hayo maisha tumeyashindwa. Hahaha... Tumewaachia wanaoyaweza wenye nchi yao
OkKuoa mzungu ni kama kuoa mchaga tu, haina tofaut kivile
Ha ha ha ha eti vi..mb...,Wanaume wetu tunawamudu sie tu watukatae lakini ndo hivyo,, wanavyopenda ngono je!! Mzungu gani wa kuhimili hivyo vit..mb... vyao vya kutwa mara tatu na mengine mengi
kuna wengine hata unga wa Kongo umewagomea lakini utakuta mke kamtunzia siri yeye anatamba barabara kumbe hana lolote je kwa wathungu nyeusi anaweza kusema nyeupe kweli? Acha tuwe ndugu mtazamaji na msilikizaji.nikuchoshe nanini wee malaya? Kama kunasehemu unapendwa mbona unajilengesha hapo kwa mtoa uzi?Kwamba heshima ili nipendwe humu!!! Nilipo napendeka vya kutosha,,
Usinichoshe