Ushauri foleni barabara ya Goba

Ushauri foleni barabara ya Goba

petro matei

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2014
Posts
812
Reaction score
949
Kumekuwa na kero kwa muda mrefu sasa haswa sisi tunatumia njia ya goba asubuhi ila haswa usiku.
Kuwa na foleni kubwa sana isiyotembea hata kwa masaa matatu na zaidi.

Ombi langu kwa serikali yetu kupitia tonroad wafanye mpango wa kujenga kuchora njia 3 toka around about ya goba mwembe madole mpaka njia 4 hii itasaidia magari yanayotoka njia ya makongo juu na haya yanayotoka huku mbezi shule yakifika hapa kupita bila kiziwizi na magari yanatoka madale,matosa na mbezi luis kuingia kwenye bila kusubiriana . Asubuhi njia mbili zinakuja goba na jioni njia mbili zinakuja njia nne inawezekana hii barabara ni pqna sana
 
Suluhisho ni waweke traffick wanne. Au waweke traffick lights kwenye round about zote 2.

Kwa Muda wa dk 5 tano.
Traffick Mmoja anasimamisha magar yanayotoka makongo na kuruhusu haya ya mbezi massana.

Na wapili atazuia ya mbezi massana na kutuhusu ya Makongo.

Traffick wa tatu atazuia yale yanatotoka madale na wanne atazuia yale yanayotoka mbezi magufuli..
Kwa Dk 5 tano .

Madereva wataheshimu na ustaarabu utakuwepo.
 
Back
Top Bottom