Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Wewe kipindi unaruka ruka vijana unawaletea pozi ulijua wakati ni milele??
Bila kuachia uvungu utaishia kumaliza sole za viatu kucheza kwaito harusi za wenzako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].hayo ni Mawazo Yako pia. Shukran kwa kuchangia
 
Funny%2BMerry%2BChristmas%2BMemes%2Bcollection.JPG
Kwani xrismasi lini???
 
Mbona umekata hiyo tamaa mapema sana? kama kweli unamtegemea Mungu hukupaswa kusema hivyo
 
Kaa kimya mwambie MUNGU,kuja hapa kusema hutaki mume ilihali faida au asala ni ya kwako humu nani atakusaidia?sorry kwa kauli yangu kama utakwazika lakini sioni sababu ya kusema sema hapa kwa swala hilo lililo ndani yako na MUNGU pekee.
Asante kwa ushauri. Na sorry kwa kukukwaza
 
Habari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,

nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].Asanteni.
Ukiamua kuwa single bila kuhitaji mahusiano yoyote huyo atakayekuoa Mungu atamleta kwa njia gani?
Au utaoteshwa?
 
Back
Top Bottom