Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

Amejichanganya na amekuchanganya wewe,huoni watu wenye uelewa mdogo wanaweza kukubaliana na alichokisema huyu aliyenunua gari/anaye-promote biashara yake?.Au ubishi wa mchana usiku usingizi wa mang'amu ng'amu?

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Hongera mkuu, lazima akosolewe kama analeta matango pori hapa
 
Huyu jamaa alifungua uzi wakati anaagiza Singapore. Alitaka kujua inakuwaje kwenye suala la ukaguzi wakati TBS hawana agent Singapore.
Tukamfahamisha gari itakaguliwa na NIT ambao wamepewa zabuni na TBS kufanya ukaguzi hapa Tz. Ndio gari imefika na gharama za ukaguzi ndio hio 350,000/-
Mkuu nikiagiza pikipiki mpya kutoka India, nitakutana na swala la ukaguzi pia?
 
Hongera kwa kutangaza show room yako.Lakini ni kama utatuingiza boya.Gari ilishafika na umelipia 350000,halafu unasema umelipia $4400,hii 350000 nini?Ni shilingi ya Tanzania au Kenya,Paunds,Kwacha,Rupia,Dola ya Zimbabwe au Kimarekani,Rupia,Nira,Mitkasi,Kroner n.k au?Kuwa serious unapo- promote biashara yako ya magari mbele ya waelewa zaidi yako.Wewe in mmiliki, dalali,karani au ndugu ya mmiliki,dalali au karani?[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app


Si kasema hapo kuwa kalipia TBS na NIT au hujasoma vizuri?
 
Boss hiyo Ni inspection fee tuu
Maana Singapore hawana Ajent wa TBS INABIDI WAJE KUFANYIA HAPA BONGO NAOMBA UNIELEWE MKUU
.....ni kweli ansyoyasema. Mie nilitozwa British pound 300 hapo NIT kwa ukaguzi wa navara
 
Yan wanaosumbua wote maswali hapa hawajawai agiza wala hawana ABCs za magari na uagizaji. Mtu anaejua haya mambo yani uzi ulishajieleza kabisa. Wala asinge uliza iyo 350000 ni nn? Wala 4400$ maana jamaa kasema kabisa CIF [emoji16][emoji23][emoji23] sasa hujui hata maana ya CIF utaacha kuja kuchosha watu hapa?

Mleta uzi achana washamba wa JF kila kitu wanajua hata kama hawajui
 
Wanandugu wapendwa natumaini Ni wazima wa Afya ,
Naombeni nitoe ufafanuzi kuhusu topic zangu mbili kuhusu kuagiza Gari kutoka Singapore .Nimejaribu mara mbili kuelezea nilikuwa nahitaji msaada kuhusu Gari ambalo halijakaguliwa kutoka Nchi ambayo nimeagiza yaani Singapore hawana Ajent wa inspection ,Wana JF WAKANIAMBIA LIKIFIKA TANZANIA KUNA FORM MAALUM UNAJAZA KUTOKA TBS HALAFU UNAENDA NIT NDIO WANALIFANYA UKAGUZI WAHAKIKISHE KILA KITU KIKOMO SAWA NDIO WANAKUPA CHETI UNAPELEKA TRA NDIO GARI LINASAJILIWA ,NA GARAMA ZA HIYO INSPECTION NI TSHS 350000 TUU ,HII NI ADA TUU KWA AJILI YA UKAGUZI WANANDUGU ,MMENISOMA ,SASA KUHUSU MANUNUZI YA HIYO SUZUKI ESCUDO, VITARA GRAND ILIKUWA
NI $ 3200 ,AKAWEKA HAPO NA ZA USAFIRISHAJI PAMOJA NA ZA INSURENCE ZIKAJA DOLLAR 4400 GARI IMELETWA MPAKA DAR ,ARE WE THE SAME PAGE,kufika Dar Kuna ushuru wa Tra nikalipa 10928000 Tshs ndio ushuri wa Gari ,
Inspection fees Tshs 350000
Shipping line Tshs 147000
Port charge Tshs 2150000
Wharerage. Tshs 246050
Ducumentation Tshs 20000
Insurance. Tshs 118000
Plate number. Tshs 50000
Agent. Tshs 400000
Driver Tshs 200000
Oil change Tshs 700000
Gas from Dar to kia 140000.
.ndio hayo tuu wapendwa katika
Kristo aliye mwokozi Wetu ,Naombeni sana sipendi kuwakwaza watu kama mtu anataka maelezo zaidi
Please don't hesitate to ask please na kama Kuna sehemu nimekosea mnikosoe ,Nikatubu LOL
 
Ndio..wana gari nzuri sana..


Wao, nilikuwa gizani kuhusu hili maana mpaka sasa nchi nilizokuwa najua ni nzuri kuagiza magari katika RHD ni nne tu ambazo ni Japan,South Africa,UK na Australia tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom