Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

mkuu
Wanandugu wapendwa natumaini Ni wazima wa Afya ,
Naombeni nitoe ufafanuzi kuhusu topic zangu mbili kuhusu kuagiza Gari kutoka Singapore .Nimejaribu mara mbili kuelezea nilikuwa nahitaji msaada kuhusu Gari ambalo halijakaguliwa kutoka Nchi ambayo nimeagiza yaani Singapore hawana Ajent wa inspection ,Wana JF WAKANIAMBIA LIKIFIKA TANZANIA KUNA FORM MAALUM UNAJAZA KUTOKA TBS HALAFU UNAENDA NIT NDIO WANALIFANYA UKAGUZI WAHAKIKISHE KILA KITU KIKOMO SAWA NDIO WANAKUPA CHETI UNAPELEKA TRA NDIO GARI LINASAJILIWA ,NA GARAMA ZA HIYO INSPECTION NI TSHS 350000 TUU ,HII NI ADA TUU KWA AJILI YA UKAGUZI WANANDUGU ,MMENISOMA ,SASA KUHUSU MANUNUZI YA HIYO SUZUKI ESCUDO, VITARA GRAND ILIKUWA
NI $ 3200 ,AKAWEKA HAPO NA ZA USAFIRISHAJI PAMOJA NA ZA INSURENCE ZIKAJA DOLLAR 4400 GARI IMELETWA MPAKA DAR ,ARE WE THE SAME PAGE,kufika Dar Kuna ushuru wa Tra nikalipa 10928000 Tshs ndio ushuri wa Gari ,
Inspection fees Tshs 350000
Shipping line Tshs 147000
Port charge Tshs 2150000
Wharerage. Tshs 246050
Ducumentation Tshs 20000
Insurance. Tshs 118000
Plate number. Tshs 50000
Agent. Tshs 400000
Driver Tshs 200000
Oil change Tshs 700000
Gas from Dar to kia 140000.
.ndio hayo tuu wapendwa katika
Kristo aliye mwokozi Wetu ,Naombeni sana sipendi kuwakwaza watu kama mtu anataka maelezo zaidi
Please don't hesitate to ask please na kama Kuna sehemu nimekosea mnikosoe ,Nikatubu LOL
mkuu hongera sana.. nina maswali Mawili
1. uki compare na kuagiza gari Japan kuna ambacho ulisave? au iliongezeka
2. Vipi quality ya gari? ilikuja na km ngapi?
 
Oil change 700,000/- ? Hii hii Oil change ninayoijua mimi au ingine?
 
mkuu

mkuu hongera sana.. nina maswali Mawili
1. uki compare na kuagiza gari Japan kuna ambacho ulisave? au iliongezeka
2. Vipi quality ya gari? ilikuja na km ngapi?
Boss hii Gari ina km 57500 ikafika pale Kia ikawa na 58 elfu na points ,Kwa kweli Ni nzuri sana Ni kama mpya boss ,if you have some questions please don't hesitate to ask please. Kwa Japan ilikuwa $ 8000 na elfu 9 mpaka Bongo ,lakini kutoka Singapore nimelipa $4400 tuu ,mpaka kufika Dar nakuomba unielewa hapa boss hizo Ni cost za kununua Gari ,USAFIRISHAJI na insurance ,tunalipa insurance hata kama meli ikizama Au wasomali wakaitega unalipwa mkuu wangu .kama hujaelewa please give me a call
0754301449 Kwa maelezo zaidi ,
 
Ungenunua showroom it will cost around 30 million
 
Nimesoma bandiko Mara mbili mbili bado siambulii kitu hasa kwenye hizo charges
Je ni tofauti na hizo 4400 USD ?
 
Boss hii Gari ina km 57500 ikafika pale Kia ikawa na 58 elfu na points ,Kwa kweli Ni nzuri sana Ni kama mpya boss ,if you have some questions please don't hesitate to ask please. Kwa Japan ilikuwa $ 8000 na elfu 9 mpaka Bongo ,lakini kutoka Singapore nimelipa $4400 tuu ,mpaka kufika Dar nakuomba unielewa hapa boss hizo Ni cost za kununua Gari ,USAFIRISHAJI na insurance ,tunalipa insurance hata kama meli ikizama Au wasomali wakaitega unalipwa mkuu wangu .kama hujaelewa please give me a call
0754301449 Kwa maelezo zaidi ,
Naomba unieleweshe huo ushuru wa TRA 10928000 walikokotoa vipi?
 
Nimesoma bandiko Mara mbili mbili bado siambulii kitu hasa kwenye hizo charges
Je ni tofauti na hizo 4400 USD ?
Mkuu please pick up the phone and call me please .mbona maelezo yanajieleza mkuu wangu .by the way uliza tuu maswali naomba upitie tena huu uzi .kama umeshapata KIRIKUU SOMA KESHO BOSS WANGU ,
 
Ni shs milioni kumi laki nane na ishirini na nane elfu na cent 50 boss
Mbona bei ya gari mpaka kukufikia ni$4000 na ushee alafu TRA umelipia ushuru 10 point ushee M...jumla si itakuwa inakimbilia 19M?
 
Mbona bei ya gari mpaka kukufikia ni$4000 na ushee alafu TRA umelipia ushuru 10 point ushee M...jumla si itakuwa inakimbilia 19M?
Ndio maana yake mkuu .Hawacheki na kima boss
 
Mkuu please pick up the phone and call me please .mbona maelezo yanajieleza mkuu wangu .by the way uliza tuu maswali naomba upitie tena huu uzi .kama umeshapata KIRIKUU SOMA KESHO BOSS WANGU ,
Ngoja nikupigie
 
Wanandugu wapendwa natumaini Ni wazima wa Afya ,
Naombeni nitoe ufafanuzi kuhusu topic zangu mbili kuhusu kuagiza Gari kutoka Singapore .Nimejaribu mara mbili kuelezea nilikuwa nahitaji msaada kuhusu Gari ambalo halijakaguliwa kutoka Nchi ambayo nimeagiza yaani Singapore hawana Ajent wa inspection ,Wana JF WAKANIAMBIA LIKIFIKA TANZANIA KUNA FORM MAALUM UNAJAZA KUTOKA TBS HALAFU UNAENDA NIT NDIO WANALIFANYA UKAGUZI WAHAKIKISHE KILA KITU KIKOMO SAWA NDIO WANAKUPA CHETI UNAPELEKA TRA NDIO GARI LINASAJILIWA ,NA GARAMA ZA HIYO INSPECTION NI TSHS 350000 TUU ,HII NI ADA TUU KWA AJILI YA UKAGUZI WANANDUGU ,MMENISOMA ,SASA KUHUSU MANUNUZI YA HIYO SUZUKI ESCUDO, VITARA GRAND ILIKUWA
NI $ 3200 ,AKAWEKA HAPO NA ZA USAFIRISHAJI PAMOJA NA ZA INSURENCE ZIKAJA DOLLAR 4400 GARI IMELETWA MPAKA DAR ,ARE WE THE SAME PAGE,kufika Dar Kuna ushuru wa Tra nikalipa 10928000 Tshs ndio ushuri wa Gari ,
Inspection fees Tshs 350000
Shipping line Tshs 147000
Port charge Tshs 2150000
Wharerage. Tshs 246050
Ducumentation Tshs 20000
Insurance. Tshs 118000
Plate number. Tshs 50000
Agent. Tshs 400000
Driver Tshs 200000
Oil change Tshs 700000
Gas from Dar to kia 140000.
.ndio hayo tuu wapendwa katika
Kristo aliye mwokozi Wetu ,Naombeni sana sipendi kuwakwaza watu kama mtu anataka maelezo zaidi
Please don't hesitate to ask please na kama Kuna sehemu nimekosea mnikosoe ,Nikatubu LOL

Mkuu asante kwa maelekezo mazuri, na pia hongera sana kutimiza ndoto yako...God bless you!

Naomba unitumie website yao nichague gari, nahitaji land cruiser pick up,,, sijui bei zake zikoje kamanda
 
Mkuu asante kwa maelekezo mazuri, na pia hongera sana kutimiza ndoto yako...God bless you!

Naomba unitumie website yao nichague gari, nahitaji land cruiser pick up,,, sijui bei zake zikoje kamanda
Mkuu Black Panther unanikumbushia mbali Hilo jina .Hawa jamaa wenye Hilo jina Ni noma wanapatikana Chicago Illinois .Ni noma sana .Kikundi hatari sana kama sijakosea .
By the way hiyo website hawana hizo Gari Landcruase pick Ihz spring coil ,cha kufanya Ni kutafuta tuu kwenye mashirika ya umma Au watu binafsi hiyo bei sasa usishangae wanakuambia milioni 45 na kuendelea mkuu .hizo Gari mkuu Ni ghali sana ,.sijui tufanyeje maana huku wananunua halafu wanaofanya warbus Kwa ajili ya kwenda porini .ila zile zenye spring mbele Au wanaita banzi Ni rahisi mkuu ,tuwasiliane tujue tufanyeje director .
 
Mkuu Black Panther unanikumbushia mbali Hilo jina .Hawa jamaa wenye Hilo jina Ni noma wanapatikana Chicago Illinois .Ni noma sana .Kikundi hatari sana kama sijakosea .
By the way hiyo website hawana hizo Gari Landcruase pick Ihz spring coil ,cha kufanya Ni kutafuta tuu kwenye mashirika ya umma Au watu binafsi hiyo bei sasa usishangae wanakuambia milioni 45 na kuendelea mkuu .hizo Gari mkuu Ni ghali sana ,.sijui tufanyeje maana huku wananunua halafu wanaofanya warbus Kwa ajili ya kwenda porini .ila zile zenye spring mbele Au wanaita banzi Ni rahisi mkuu ,tuwasiliane tujue tufanyeje director .
Mkuu unajua ungeweka website husika ingekua mzuka zaidi.Kusema tu ni tradecarview inakua haina msaada kiviile kwa sababu tradecarview ni mkusanyiko wa Co's za kuuza magari na sio kampuni 1 ile.

Halafu kuna mtu ameuliza swali la msingi sana pale juu,kwamba oil change imeku cost 700,000?.Nadhani ungempa jibu ingetusaidia watu wengi maana inaonekana ni very very expensive.Asante
 
Mkuu unajua ungeweka website husika ingekua mzuka zaidi.Kusema tu ni tradecarview inakua haina msaada kiviile kwa sababu tradecarview ni mkusanyiko wa Co's za kuuza magari na sio kampuni 1 ile.

Halafu kuna mtu ameuliza swali la msingi sana pale juu,kwamba oil change imeku cost 700,000?.Nadhani ungempa jibu ingetusaidia watu wengi maana inaonekana ni very very expensive.Asante
Samahani nilikosea Ni elfu 70 tuu
Ni shs 70000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom