Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

wakati una tafuta agent ulifungua uzi humu? kama ndio tuna omba kuuona mkuu...
Huyu jamaa alifungua uzi wakati anaagiza Singapore. Alitaka kujua inakuwaje kwenye suala la ukaguzi wakati TBS hawana agent Singapore.
Tukamfahamisha gari itakaguliwa na NIT ambao wamepewa zabuni na TBS kufanya ukaguzi hapa Tz. Ndio gari imefika na gharama za ukaguzi ndio hio 350,000/-
 
Huyu jamaa alifungua uzi wakati anaagiza Singapore. Alitaka kujua inakuwaje kwenye suala la ukaguzi wakati TBS hawana agent Singapore.
Tukamfahamisha gari itakaguliwa na NIT ambao wamepewa zabuni na TBS kufanya ukaguzi hapa Tz. Ndio gari imefika na gharama za ukaguzi ndio hio 350,000/-
Yaani mkuu uko sawa kabisa . Nililipa Ile Ile hela uliyosema , Tatizo ukiagiza Gari Nchi ambayo tuna Ajent wa TBS Au bidhaa ambazo zinahitaji ukakuguzi kabla hazijaingizwa Nchini itakuwa imekula kwako watu wa TBS WAKO MAKINI SANA SANA NDIO MAANA UNAONA BIDHAA KUTOKA NJE YA TANZANIA ZINACHOMWA MOTO NI KWA SABABU HAWAJAFANYA INSPECTION ZIKIJA HAPA NDIO SHIDA ,TBS NI MUHIMU SANA KAMA UNAAGIZA BIDHAA KUTOKA NJE YA NCHI ,NA UNAPEWA CERTIFICATE INAYOITWA SGS ,ASANTENI ,
 
Sio Kwamba Wivu Ila Suzuk Escudo Ni Gari Za Zaman(labda liwe new model but old brande name) Sana Kwa Kweli Dah Sio Ndoto Yangu Kiukwel ,,,ILA HONGERA KWA KUTIMIZA NDOTO MKUU, , , , , am serious
Mkuu huu wivu tu maana mhusika alishasema new model wewe unasema ni gari la zamani how?
 
Tuwekee picha na kisha tupatie website yao ili tucheck pia
dc0614d40fb11e77e14cebd94c56f8e9.jpg
 
naomba majibu ya haya maswali please;
- kule ulinunulia hii gari kwa sh.ngapi?
- Kodi TRA imegharimu kiasi gani?
jumla ya gharama zote hadi kukufikia mkononi ni kiasi gani?
 
H
Mkuu huu wivu tu maana mhusika alishasema new model wewe unasema ni gari la zamani how?
Hapana Co Wivu Ilo Neno New Model Ckuliona Kwenye Uzi Nadhani Nilisoma Kwa Haraka, Mi Nikajua Ni Zile Za Zaman , Kwa Pamoja Tumpongeze Member Mwenzetu Kutimiza Malengo Ya 2017.
 
Mbona hujibu maswalj ya msingi babu,kwenye comment #22 nimetaka kujua hio $4400 ni pamoja na ushuru/kodi ya tra au imekaaje hapo?...
 
Hongera kwa kutangaza show room yako.Lakini ni kama utatuingiza boya.Gari ilishafika na umelipia 350000,halafu unasema umelipia $4400,hii 350000 nini?Ni shilingi ya Tanzania au Kenya,Paunds,Kwacha,Rupia,Dola ya Zimbabwe au Kimarekani,Rupia,Nira,Mitkasi,Kroner n.k au?Kuwa serious unapo- promote biashara yako ya magari mbele ya waelewa zaidi yako.Wewe in mmiliki, dalali,karani au ndugu ya mmiliki,dalali au karani?

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app

mimi mbona nimuelewa vema mtoa mada? hapo anamaanisha hiyo 350,000 ni tozo aliyolipia tbs kwa kuwa gari yake haikukaguliwa singapore, na hiyo 4400 ni dola akimaanisha ni CIF ya gari kutoka Singaporw hadi bandari ya dar, hapo kuna garama kama agency fee, port charges na ushuru hajavitaja.
 
mimi mbona nimuelewa vema mtoa mada? hapo anamaanisha hiyo 350,000 ni tozo aliyolipia tbs kwa kuwa gari yake haikukaguliwa singapore, na hiyo 4400 ni dola akimaanisha ni CIF ya gari kutoka Singaporw hadi bandari ya dar, hapo kuna garama kama agency fee, port charges na ushuru hajavitaja.
Asante mkuu .Ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom