Mrejesho! Natafuta mdada msabato

Mrejesho! Natafuta mdada msabato

DAAAAAAH....

Kumbe ma demu walioko humu ni MATAPELI...
Mie cjui nan TAPELI nani SIO..

Nafuata ushuhuda wa mshikaji hapo kuwa Wanawake waliopo humu MATAPELI...

Heheheheee (kicheko cha ki Engineer)

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Wacha ujinga wew na Elimu yako ya kuunga unga, usiwe unatanguliza Elimu yko wkt ujui unaowambia wana Elimu gani.
 
Wacha ujinga wew na Elimu yako ya kuunga unga, usiwe unatanguliza Elimu yko wkt ujui unaowambia wana Elimu gani.
Yani huyu anayejiita eng sijui eng wa kuzibua mitambo y choo tang jan najibishan nae kuna mada ilitolewa anajifany analeta dharau,ht usijichoshe kujibishan nae mdogo wng
 
Yani huyu anayejiita eng sijui eng wa kuzibua mitambo y choo tang jan najibishan nae kuna mada ilitolewa anajifany analeta dharau,ht usijichoshe kujibishan nae mdogo wng
Nimeona kweli, atakuwa na matatizo
Mada ingine yy analeta masuala ya Elimu, kila mtu angeonesha vyeti vyake si kingekimbia humu ndani.
 
Humu waliowengi niwasaka fursa tuu,kwanza humu kila manzi anajifanya ni mjanja,mwerevu! sasa bahatisha umuone real life yake,hutatamani hata kumfaham tena
 
Anapata sana mm Nina ushuhuda yupo rafiki yangu kabisa kampata mdada tena kwa Facebook hivi sana wana mtoto wa miezi 4 na nusu hivi maisha yanaendelea wanaishi vizuri tena wanaelewana hatari
 
Anapata sana mm Nina ushuhuda yupo rafiki yangu kabisa kampata mdada tena kwa Facebook hivi sana wana mtoto wa miezi 4 na nusu hivi maisha yanaendelea wanaishi vizuri tena wanaelewana hatari
Imawezekana ila kwa nadra sana nionavyo mimi
 
Asante sana! Ndo tatizo la kutafuta uhusiano mitandaoni! Labda kama mtu mmeanza kama marafiki. Ukisema kua mke wengi wanakuja kwa matarajio yao wenyewe na wachache wako serious kuhusu ndoa. Polekwa yaliyokukuta.
Kama unatafuta msabato njia nzuri ni huko kanisani kwenu. Kama unaogopa kumtongoza msichana, onana na mchungaji.... Wachungaji wanasaidia sana kukutafutia msichana wanaoona yuko serious na anafaa.
 
Asante sana! Ndo tatizo la kutafuta uhusiano mitandaoni! Labda kama mtu mmeanza kama marafiki. Ukisema kua mke wengi wanakuja kwa matarajio yao wenyewe na wachache wako serious kuhusu ndoa. Polekwa yaliyokukuta.
Kama unatafuta msabato njia nzuri ni huko kanisani kwenu. Kama unaogopa kumtongoza msichana, onana na mchungaji.... Wachungaji wanasaidia sana kukutafutia msichana wanaoona yuko serious na anafaa.
Nashukuru sana
 
mkuu beba cheti cha mafunzo ya ujuzi kamuonyeshe mchungaji kama CV yako ya usabato😉,muambie akusaidie kupata wife, utapata fasta. humu hatari tupu.
 
Hyo ya nyanda za juu kusin nayo ni ya. Kwel au moja ya mitego yako? Bora nafs yako iliamua kujirdhsha mapema before kuingia kwenye mahusiano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom