Bwana mdogo mchumba hatafutwi kama mgangaHbr za jioni wadau!
Kutokana na bandiko langu la tarehe 25.09.2016 la kutafuta mdada wa kisabato kwa ajili ya baadaye kuwa mke,
Nilibahatika kupata pm moja ya dada mmoja , tulipeana mawasiliano na hatimaye tukatambuana majina halisi.
Baadaye jioni ya jana nikampigia ili niongee naye vizuri na tuliongea kwa dakika chache ila nilimtega kwa mtego mdogo sana kwamba nipo Mkoani Simiyu kikazi, kumbuka alinambia yeye yupo dar es salaam hivyo akaomba kwamba nimtafute baadaye, mpk sasa ninavyoandika hajanitafuta pamoja na juhudi za kumtext kwamba nasubir awe free tuongee lkn kapotelea mitini.
Mwingine aliniambia yupo dsm lkn alikuwa na miaka 29 hivyo nikahadiliana naye sana mwishowe nikamwabia ananizidi umri hivyo hatutaweza kuwa pamoja.
Nilichogundua ni kwamba humu Jamii forum kuna wadada wengi matapeli, hawako serious na mahusiano .
Mim nipo Nyanda za juu kusini ila kwangu ni Morogoro, hivyo ikimweza Mdada moja kwa moja ni rahisi kukomaa ili umuoe hivyo mara nyingi lazima uchije ili wasio serious wajichuje wenyew.
Kwa sasa sipokei pm za Mdada yeyote na hawa niliochat nao, imetosha, nitaendelea kutafuta mdada physically na ikiwezekana wa dhehebu lolote nitaoa.
Nimeleta mrejesho hivi ili na wengine wanaotafuta waweze kujifunza.
Ahsante sana
umelijua leo???????? si KE au ME wote humu ni masimba yaliyo shiba utapeli hadi kuvimbiwa.......... POLE MEMBER ndo ukubwa huo.Hbr za jioni wadau!
Kutokana na bandiko langu la tarehe 25.09.2016 la kutafuta mdada wa kisabato kwa ajili ya baadaye kuwa mke,
Nilibahatika kupata pm moja ya dada mmoja , tulipeana mawasiliano na hatimaye tukatambuana majina halisi.
Baadaye jioni ya jana nikampigia ili niongee naye vizuri na tuliongea kwa dakika chache ila nilimtega kwa mtego mdogo sana kwamba nipo Mkoani Simiyu kikazi, kumbuka alinambia yeye yupo dar es salaam hivyo akaomba kwamba nimtafute baadaye, mpk sasa ninavyoandika hajanitafuta pamoja na juhudi za kumtext kwamba nasubir awe free tuongee lkn kapotelea mitini.
Mwingine aliniambia yupo dsm lkn alikuwa na miaka 29 hivyo nikahadiliana naye sana mwishowe nikamwabia ananizidi umri hivyo hatutaweza kuwa pamoja.
Nilichogundua ni kwamba humu Jamii forum kuna wadada wengi matapeli, hawako serious na mahusiano .
Mim nipo Nyanda za juu kusini ila kwangu ni Morogoro, hivyo ikimweza Mdada moja kwa moja ni rahisi kukomaa ili umuoe hivyo mara nyingi lazima uchije ili wasio serious wajichuje wenyew.
Kwa sasa sipokei pm za Mdada yeyote na hawa niliochat nao, imetosha, nitaendelea kutafuta mdada physically na ikiwezekana wa dhehebu lolote nitaoa.
Nimeleta mrejesho hivi ili na wengine wanaotafuta waweze kujifunza.
Ahsante sana
Itakua maana msela anajisifia kinomaMkuu ukoo wenu wote wewe ndo engineer peke yako?
Wengi hawako sirias wanaleta maigizo kwenye maishaHbr za jioni wadau!
Kutokana na bandiko langu la tarehe 25.09.2016 la kutafuta mdada wa kisabato kwa ajili ya baadaye kuwa mke,
Nilibahatika kupata pm moja ya dada mmoja , tulipeana mawasiliano na hatimaye tukatambuana majina halisi.
Baadaye jioni ya jana nikampigia ili niongee naye vizuri na tuliongea kwa dakika chache ila nilimtega kwa mtego mdogo sana kwamba nipo Mkoani Simiyu kikazi, kumbuka alinambia yeye yupo dar es salaam hivyo akaomba kwamba nimtafute baadaye, mpk sasa ninavyoandika hajanitafuta pamoja na juhudi za kumtext kwamba nasubir awe free tuongee lkn kapotelea mitini.
Mwingine aliniambia yupo dsm lkn alikuwa na miaka 29 hivyo nikahadiliana naye sana mwishowe nikamwabia ananizidi umri hivyo hatutaweza kuwa pamoja.
Nilichogundua ni kwamba humu Jamii forum kuna wadada wengi matapeli, hawako serious na mahusiano .
Mim nipo Nyanda za juu kusini ila kwangu ni Morogoro, hivyo ikimweza Mdada moja kwa moja ni rahisi kukomaa ili umuoe hivyo mara nyingi lazima uchije ili wasio serious wajichuje wenyew.
Kwa sasa sipokei pm za Mdada yeyote na hawa niliochat nao, imetosha, nitaendelea kutafuta mdada physically na ikiwezekana wa dhehebu lolote nitaoa.
Nimeleta mrejesho hivi ili na wengine wanaotafuta waweze kujifunza.
Ahsante sana
Wapo wengi mbona ukitangaza pm za kutosha ila wengi wazugajiNilikuambia muomb mungu akupe mke mwema,lkn sio humu unaona sasa uliyokuta nayo,hivi na pia kumbe ukitangaz unatak mtu kumbe unapata humu eeh
Kama ingekuwa mitego si ningeitumia na tyr ningewapata!!Hyo ya nyanda za juu kusin nayo ni ya. Kwel au moja ya mitego yako? Bora nafs yako iliamua kujirdhsha mapema before kuingia kwenye mahusiano