Mrejesho: MwanaJF aliyeomba mtaji

Kwa clue hii inamaanisha uliyemsaidia ni mwanamke. Na uliamini kwamba kwasababu ni wa kike hatokuwa tapeli. Haya wale wanaotaka kumfahamu endeleeni kufilter....ni ke na sio me!
 
Hujawahi kujiuliza kwanini makampuni mengi ya kibongo/africa ma manager ni wahindi/raia wa asia? ndiyo maana dangote kwenye kiwanda chake uongozi wa juu wote kaweka raia kutoka nje ya bara la africa..... Wabongo wanacho kiwaza hata shetani anaweza kula kona.... Mawazo yao ni wizi wizi tu....
 
Mkuu, Mara nyingi ukisaidia we saidia na usigeuke nyuma, mpumbavu kama huyo uliemsaidia huwa anawaza aliposimama hawazi hatua mbili mbele kuna nini, binafsi nimekerekwa maana huyo mtu hana tufauti na makalio yake, yaani mtu upoteze muda kumfuata then anakwambia umechelewa!!!!! Stupid sana, nimechelewa!!!! Huu mji umejaa matapeli, Mimi binafsi nikimsaidia mtu hata sitaki kujua au kutaka mrejesho,lkn njia ya muongo ni fupi sana
 
Binadamu haaminiki, na hawa wapuuzi ndio wanawaharibia wenzao ambao wapo serious
 
Huyo ni maskini wa akili kwa kiwango cha lami,
umempa mtaji afu anaanza kukuwekea masharti ya kwamba hajui ni kwa nini umechelewa kwenda kumtembelea, kwa haraka gani aliyonayo mpaka anakukimbia donor wake , na hawa ndiyo wanaosababisha wenye matatizo ya kweli waashindwe kusaidiwa
 
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 wabongo balaa walishamuona ni chuma ulete
 
Reactions: BAK
we huyo Miss Natafuta sio mwenzako, juzi tu kanunua harrier mpya ya rangi ya kijivu.
 
Mkuu hakika una moyo wa kusaudia si mara moja umekuwa ukiguswa na kujitoa kwa jf members wenye uhitaji. Nakumbuka kipindi Fulani ulikuwa unatafuta mtu mwaminifu umpe kazi.

Tatizo huyo uliyemsaidia hajui nia uliyonayo. Labda ni msanii tuu au anafikiri utatake over bss from there na yeye ameshaanzisha mawazo yote hayo ni stupidification of the mind. Najua anasoma bandiko lako hapa anaweza kujirudi na kukutafuta lakini ajue jf members hawako pleased naye kwa haya anayoyatenda.
 
Na hiyo itasababisha watu wenye shida wasisaidiwe, kumbe pengine wako serious. Sema tu sisi wengine tatizo letu tuna huruma saja jambo ambalo mara nyingi hutuponza.
Najaribu kuwaza kwa umakini sana! Wahenga walisema tenda wema uondoke zako usingoje shukrani... Mkuu wala usikate tamaa endelea tu na kuwasaidia wengine.. Life is too short in this world my be kule tuendako kama kupo.. Utapata malipo yako!
 
Pole mnoo
La muhimu hajakukata mikono, yeye ataendelea kuwa masikini tuu
 
Pole Mkuu ila bado kama ulivyosema kuna watu wanna shida ila kuwatambua ni vigumu lakini akichokufanyia usiseme akioza ssmaki mmoja basis wote, ukiwa na moyo huo na Mungu kakuwezesha Fanya japo kauyafiti kadogo, wahenga walisema njia ya mwongo ni fupi, Ila huna asara mwenye asara yeye kajifungia
 
ww nawe ujielewi unampaji MTU mtaji bila kumjua anapoishi unapo Fanya jambo usikurupuke
 
Lakini mleta mada amesema alijitolea tu kumpiga tafu jamaa. Sidhani kama alimkopesha chochote. Kama nimeelewa vema.
Hata kama hajamkopesha.....

Kapigwa maana jamaa katumia ujanja wa shida kumkwapulia pesa
 
Mkuu pole Sana ila

Mkuu mtu anaekuja kwa lengo la kutaka kusaidiwa mtaji wa biashara hapewi PESA

Ataje ni biashara gani then unampa bidhaa

Hapo kidogo itasaidia

Hata mwenye njaa hununuliwa chakula si kumpa pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…