chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,109
we have very long way to live maisha ya ndoa kuna mapungufu mengi saana ktk ndoa zetu na kikubwa ambacho mimi ninacho kiona ni ubinafsi ndo umetawala,naturally binadamu wote ni wabinafsi lkn nadhani ukiridhia maisha ya ndoa maana yake ni maisha ya wawili so ukubari kushirikiana kwa kila jambo
nawaasa dada zangu ukikubali kuolewa embu tumbukiza miguu yako yote miwili ktk ndoa yako kwani dada zetu wengi wa sasa wanaishi maisha ya ndoa lkn wanafanya mambo mengi nje ya ndoa haswa mambo ya maendeleo
jitahidini kuwa na maneno mazuri kwa waume zenu ,hivyo vichangu ambavyo wanaume tunavifuata havina lolote Zaidi ya kauli nzuri ya kubembeleza na ku care
fanya ndoa yako kama ya leoleo
na nyie kina baba wanawake ni wale wale hakuna jipya cha msingi mlee mkeo kama mwanamke,kuwa responsible man katika familia yako,jari mke ,lete zawadi. zoea kurudi na mfuko wenye kitu chchote nyumbani ,beba hata nyanya tu.,
nawaasa dada zangu ukikubali kuolewa embu tumbukiza miguu yako yote miwili ktk ndoa yako kwani dada zetu wengi wa sasa wanaishi maisha ya ndoa lkn wanafanya mambo mengi nje ya ndoa haswa mambo ya maendeleo
jitahidini kuwa na maneno mazuri kwa waume zenu ,hivyo vichangu ambavyo wanaume tunavifuata havina lolote Zaidi ya kauli nzuri ya kubembeleza na ku care
fanya ndoa yako kama ya leoleo
na nyie kina baba wanawake ni wale wale hakuna jipya cha msingi mlee mkeo kama mwanamke,kuwa responsible man katika familia yako,jari mke ,lete zawadi. zoea kurudi na mfuko wenye kitu chchote nyumbani ,beba hata nyanya tu.,