Hahahah!!Al hamdu lillah.mie azam cola ya 700 tu yantosha.
Pamoja sana Mkuu..The Bold mimi mwenyewe nafuatilia mabandiko yako. Pamoja sana
Very soon mzigo mwingine unadondoka! Pamoja sana mkuuPAMOJA MKUU TUNAKUBALI KAZI YAKO MKUU.LETA KI2 KINGNE MKUU
Hongera sana The bold,uko vizuri usife moyo kwa maneno ya watu wachache wasio na shukrani,tuko nyuma yako!!Very soon mzigo mwingine unadondoka! Pamoja sana mkuu
Nitajitahidi kufanya hivyo..Wakikulipa ukumbuke na Jamii forum kuwapatia %ya hicho kidogo utakachopata
Asante Mkuu..Congrats mkuu,
Nashukuru mkuuHongera mkuu.
Poa poa mkuu,kaza kaza mkuu!!!Nashukuru sana Mkuu..
Ha ha ha ha na hapo utasimulia pande zote mbili uzuri na ubaya......ila kwe kesi ya uchochezi tutakuchangia ile mil.7 kama walivyofanya Arusha!!Mi nataka kusimulia historia ya Magufuli mpaka alivyofika hapo.
Lakini gazeti lijiandae kabisa kwa kesi.
Hakuna gazeti litakaloandika ....Mi nataka kusimulia historia ya Magufuli mpaka alivyofika hapo.
Lakini gazeti lijiandae kabisa kwa kesi.
Ataandika JP Maharagwe.. Watamkamataje?Ha ha ha ha na hapo utasimulia pande zote mbili uzuri na ubaya......ila kwe kesi ya uchochezi tutakuchangia ile mil.7 kama walivyofanya Arusha!!
Tupia makala mkuu! Hayo mengine usiyatilie maanani sanaDah! Ngoja na mimi nichukulie serious niandae makala. Coz nikiandika kidogo, kati ya watu watano, watatu wanasema mi mkali wa kuandika na kuelezea. Kumbe kuna mpunga. Hebu nitonye, wamekuacha achaje, ili nipate mizuka.