Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,351
- 1,282
Wakuu nilikuja kuomba msaada hapa kuhusu yule binti mwenye jini mahaba eee bwana nilifanikiwa kumtafuna kweli na wala hakupandisha hayo majini yake kitu kilichofanya nihisi alikua ananiigizia japo aliniambia kuna dawa anatumiaga. Utata unakuja anapokomaa mimi ni mwanaume wake wa kwanza kukutana nae na huku sikukuta bikra naona kabisa ananichora. Anadai hajawahi kulala na mwanaume zaidi ya kwenye ndoto. Swali langu je jini mahaba anamwingilia mwanamke bikra.......???