Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Sababu itakayopelekea hiyo ndoa kuvunjika ni very genuine. Yaani nyinyi mnafurahia jamaa aendelee kuchapiwa tu?? Mmeniskitisha sana!Kwahiyo unasapoti ndoa yao kuvunjika
Halafu baadhi yao humu nlidhani ni watu na busara zao kumbe mavi ya kuku.
Chepuka at your own risk, ukikamatwa kubali kubeba lawama na stahiki zote za uchepukaji wako.
Watu wanachepuka, ndio wala sibishi but ukikamatwa kubali kubeba all consequences.
Umechukizwa na jamaa kumshtua baba nasma sio??