Bossprota
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 326
- 333
- Thread starter
- #41
Hapa hapana mafundi kabisa halafu nisokoni kunakijisoko flan hivi local na kina kilabu chapombe zakienyeji,vigrocery viwili vitatu,mapool table yakutosha libraly zamuvi kama mbili hivi saloon zakunyoa vibanda vya mpesa ahf kunakaeneo wanauza mama mbogamboga kuna vibanda vyachips yaaan ni mazingila flani yamechangamka ila fundi simu nipo pekeangu broohok sawa sawa ,na je wewe hapo ulipo ni wewe tu au kuna mafund wengne pia