Mrejesho: Biashara ya Ufundi Simu

Sijajua mazingira uliyopo ila kunakuwaga na wanaoiba simu wanazitoa password, kwa arusha ndo hili swala lipo sana ila huko sijajua
Huku lipo saana mkuu dheria ni kuflash simu hadi mteja akuonyeshe na receipt hapo ntajitahidi saana niepuke matatizo hayo kaka
 
Habari Wadau!

Mimi ni kijana mtafutaji wa hali ya chini kwanza niseme jamii forums n8 sehemu iliyonifanya nipate wazo hili ambalo naweza sema lime badilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa!!!

Mnano mwaka jana mwezi wa 9 nilifanikiwa kupata uzi hapa jf wenye ushauri juu ya biashara ya ufundi simu na nikajipanga na kuanza kuchukua hatua mwanzo nilikua nimeajiliwa kwenye kampuni fulani kwa mshahara wa Tsh laki 2 kwa mwezi nikajichanga huku najifunza basics za ufundi simu kama kuunga mic na spika kubadili systerm charge kuflash simu nk nikapata sehemu yakufanyia mazoezi golini kwamtu huku namlipa 30 kwa mwezi nikajifunza ufundi simu kila nikitoka kazini kwangu naenda kujifunza ilipofika mwezi wa kwanza nikajitosa lasmi kwenye ufundi simu

#Mrejesho
Nilianza kazi kwa mtaji wa Tsh 350,000/=
gun 6000/=
sodawire 20,000/= bunda
screw driver 8,000/=
chumba miezi 5 30@mwezi= 150,000/=
umeme 10,000/=
55,000/= hot air blower
Enga zakuwekea baadhi ya bidhaa
8 @1500=12,000/=
protectors 10@1200=12000/= flash(faster)3 @9,000/= gb32 =27,000/=
20,000/= line yalipa namba vodacom 30,000/= mabetri ya simu makava usb kardreader etc..

Hapo ndipo nilipouanza mwendo
Kwa mwezi wa kwanza sikuwa na makadrio maalumu maana nilianza biashara tar 17 hivyo sio mwezi lasmi saana japo siku ikiwa mbaya nalaza 10,000/= hasara zikawa zinakuja mixer kuharibu simu zawatu najikuta naenda kughalamia kwa fundi mwingine lakini hiki kipindi kilikuwa kigumu saana maana mteja analeta simu yenye tatizo la kubadilishiwa screen tatizo linaisha ahf mic inaharibika yaaan hadi sasa bado kwenye uharibifu ndio changamoto nayo pitia saaana lakini hadi nafika tar 31 january ninatsh 90,000/= mfukon nimesave ulipo anza mwezi wapili naeza sema ndipo nilipo anza rasmi biashara yangu maaana kunasiku naeza laza hadi 50,000/= nasiku mbaya naeza laza 15,000/=

Nikapambana hadi mwezi wa pili unaisha nimeingiza laki 6 kasoro yaani nilihisi ni uchawi aiseeeh hapo ndipo nikanunua blower kubwa ya 270,000/= ahf laki3 na50 ikabaki kama backup nanikama mtaji nilioanzia kiasi kwamba ningetaka kufungua goli lingine ningeweza hapo nilihisi sio mimi kabisa yaaan mwezi wa tatu kwenda wa4 nikajikuta nimelaza laki 7 na60 hapo nikiiangalia mpesa yangu najiona bakhresa flani hivi ndipo nikanunua desktop computer nakuinstall miracle thunder nakuongeza huduma zakuflash simu nakutoa pesa kwa lipa namba nnachofanya: mteja akija kutoa kuanzia 40,000/= anaacha tsh 2,000/= kama service charge kwa sasa kwasiku naeza pata hadi wateja 7 = >14,000/= day

Sasa huu mwezi wanne naeza sema nimefanikiwa kumiliki million kwenye account yangu mwenyewe kwa mara ya kwanza sasa ni mwezi wa tatu wa kazi yangu ya ufundi simu kwa haya mawndeleo najuta kwa nini nilichelewa kuisoma ile thread ya jamii forums
Malengo yangu: Kwa sasa hapa ninatengeneza simu nauza accesoriez nakutoa pesa kwa lipa namba

Kuanzia mwezi watisa nahitaji kuwekeza pia kwenye ufundi Tv,Deki,Sabufa,pasi,blenda nk...

Lengo ni kufungua branchi nyingine kwaajili ya shughuli hizo naombeni ushauri kwa mwenye uzoefu na hayo masuala ya ufundi Tv nk...

Nashukuru saana kwa wote mlioufanikisha uzi wakwanza wa ufundi simu..
Hongera mkuu kwa mafanikio hayo, na kila la kheri katika kazi yako.
 
Habari Wadau!

Mimi ni kijana mtafutaji wa hali ya chini kwanza niseme jamii forums n8 sehemu iliyonifanya nipate wazo hili ambalo naweza sema lime badilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa!!!

Mnano mwaka jana mwezi wa 9 nilifanikiwa kupata uzi hapa jf wenye ushauri juu ya biashara ya ufundi simu na nikajipanga na kuanza kuchukua hatua mwanzo nilikua nimeajiliwa kwenye kampuni fulani kwa mshahara wa Tsh laki 2 kwa mwezi nikajichanga huku najifunza basics za ufundi simu kama kuunga mic na spika kubadili systerm charge kuflash simu nk nikapata sehemu yakufanyia mazoezi golini kwamtu huku namlipa 30 kwa mwezi nikajifunza ufundi simu kila nikitoka kazini kwangu naenda kujifunza ilipofika mwezi wa kwanza nikajitosa lasmi kwenye ufundi simu

#Mrejesho
Nilianza kazi kwa mtaji wa Tsh 350,000/=
gun 6000/=
sodawire 20,000/= bunda
screw driver 8,000/=
chumba miezi 5 30@mwezi= 150,000/=
umeme 10,000/=
55,000/= hot air blower
Enga zakuwekea baadhi ya bidhaa
8 @1500=12,000/=
protectors 10@1200=12000/= flash(faster)3 @9,000/= gb32 =27,000/=
20,000/= line yalipa namba vodacom 30,000/= mabetri ya simu makava usb kardreader etc..

Hapo ndipo nilipouanza mwendo
Kwa mwezi wa kwanza sikuwa na makadrio maalumu maana nilianza biashara tar 17 hivyo sio mwezi lasmi saana japo siku ikiwa mbaya nalaza 10,000/= hasara zikawa zinakuja mixer kuharibu simu zawatu najikuta naenda kughalamia kwa fundi mwingine lakini hiki kipindi kilikuwa kigumu saana maana mteja analeta simu yenye tatizo la kubadilishiwa screen tatizo linaisha ahf mic inaharibika yaaan hadi sasa bado kwenye uharibifu ndio changamoto nayo pitia saaana lakini hadi nafika tar 31 january ninatsh 90,000/= mfukon nimesave ulipo anza mwezi wapili naeza sema ndipo nilipo anza rasmi biashara yangu maaana kunasiku naeza laza hadi 50,000/= nasiku mbaya naeza laza 15,000/=

Nikapambana hadi mwezi wa pili unaisha nimeingiza laki 6 kasoro yaani nilihisi ni uchawi aiseeeh hapo ndipo nikanunua blower kubwa ya 270,000/= ahf laki3 na50 ikabaki kama backup nanikama mtaji nilioanzia kiasi kwamba ningetaka kufungua goli lingine ningeweza hapo nilihisi sio mimi kabisa yaaan mwezi wa tatu kwenda wa4 nikajikuta nimelaza laki 7 na60 hapo nikiiangalia mpesa yangu najiona bakhresa flani hivi ndipo nikanunua desktop computer nakuinstall miracle thunder nakuongeza huduma zakuflash simu nakutoa pesa kwa lipa namba nnachofanya: mteja akija kutoa kuanzia 40,000/= anaacha tsh 2,000/= kama service charge kwa sasa kwasiku naeza pata hadi wateja 7 = >14,000/= day

Sasa huu mwezi wanne naeza sema nimefanikiwa kumiliki million kwenye account yangu mwenyewe kwa mara ya kwanza sasa ni mwezi wa tatu wa kazi yangu ya ufundi simu kwa haya mawndeleo najuta kwa nini nilichelewa kuisoma ile thread ya jamii forums
Malengo yangu: Kwa sasa hapa ninatengeneza simu nauza accesoriez nakutoa pesa kwa lipa namba

Kuanzia mwezi watisa nahitaji kuwekeza pia kwenye ufundi Tv,Deki,Sabufa,pasi,blenda nk...

Lengo ni kufungua branchi nyingine kwaajili ya shughuli hizo naombeni ushauri kwa mwenye uzoefu na hayo masuala ya ufundi Tv nk...

Nashukuru saana kwa wote mlioufanikisha uzi wakwanza wa ufundi simu..🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Upo wapi mzeya...simu yangu inazingua kucharge
 
Mkuu huo Uzi wa mwanzo uko wapi? Natamani Sana na mm part time nijifunze kutengeneza simu au TV hasa Flat TV maana zina hela sana
 
mkuu embu tupe experience yako juu ya upatikanaji wa spare kwa ujumla ,je wewe unakaa karibu na wauza spare au huwa wazifata mbali
 
mkuu embu tupe experience yako juu ya upatikanaji wa spare kwa ujumla ,je wewe unakaa karibu na wauza spare au huwa wazifata mbali
Kwa hapa Tunduma Kuna soko linaitwa Manzese pale ndio spare ndogo ndogo huwa napata kama mic,speaker navifaa mbalimbali vya simu ila ikiwa nnashida na engine huwa nazifuata mbeya mjini mwanjerwa kunajamaa anaitwa Nyagawa boss
 
Hongera na kila la heri..
Tukuanzishie safari yako ya ufundi TV na mafunzo kwa picha kwenye hiki kitabu 👇....
 

Attachments

  • Troubleshooting and Repairing LCD TVs By John Preher www.preher-tech.com ( PDFDrive ).pdf
    6.4 MB · Views: 72
  • Thanks
Reactions: _ID
Kwa hapa Tunduma Kuna soko linaitwa Manzese pale ndio spare ndogo ndogo huwa napata kama mic,speaker navifaa mbalimbali vya simu ila ikiwa nnashida na engine huwa nazifuata mbeya mjini mwanjerwa kunajamaa anaitwa Nyagawa boss
ok sawa sawa ,na je wewe hapo ulipo ni wewe tu au kuna mafund wengne pia
 
Back
Top Bottom