Bossprota
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 253
- 243
Habari Wadau!
Mimi ni kijana mtafutaji wa hali ya chini kwanza niseme jamii forums n8 sehemu iliyonifanya nipate wazo hili ambalo naweza sema lime badilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa!
Mnano mwaka jana mwezi wa 9 nilifanikiwa kupata uzi hapa jf wenye ushauri juu ya biashara ya ufundi simu na nikajipanga na kuanza kuchukua hatua mwanzo nilikua nimeajiliwa kwenye kampuni fulani kwa mshahara wa Tsh laki 2 kwa mwezi nikajichanga huku najifunza basics za ufundi simu kama kuunga mic na spika kubadili systerm charge kuflash simu nk nikapata sehemu yakufanyia mazoezi golini kwamtu huku namlipa 30 kwa mwezi nikajifunza ufundi simu kila nikitoka kazini kwangu naenda kujifunza ilipofika mwezi wa kwanza nikajitosa lasmi kwenye ufundi simu.
Mrejesho
Nilianza kazi kwa mtaji wa Tsh 350,000/=
gun 6000/=
sodawire 20,000/= bunda
screw driver 8,000/=
chumba miezi 5 30@mwezi= 150,000/=
umeme 10,000/=
55,000/= hot air blower
Enga zakuwekea baadhi ya bidhaa
8 @1500=12,000/=
protectors 10@1200=12000/= flash(faster)3 @9,000/= gb32 =27,000/=
20,000/= line yalipa namba vodacom 30,000/= mabetri ya simu makava usb kardreader etc..
Hapo ndipo nilipouanza mwendo
Kwa mwezi wa kwanza sikuwa na makadrio maalumu maana nilianza biashara tar 17 hivyo sio mwezi lasmi saana japo siku ikiwa mbaya nalaza 10,000/= hasara zikawa zinakuja mixer kuharibu simu zawatu najikuta naenda kughalamia kwa fundi mwingine lakini hiki kipindi kilikuwa kigumu saana maana mteja analeta simu yenye tatizo la kubadilishiwa screen tatizo linaisha ahf mic inaharibika yaaan hadi sasa bado kwenye uharibifu ndio changamoto nayo pitia saaana lakini hadi nafika tar 31 january ninatsh 90,000/= mfukon nimesave ulipo anza mwezi wapili naeza sema ndipo nilipo anza rasmi biashara yangu maaana kunasiku naeza laza hadi 50,000/= nasiku mbaya naeza laza 15,000/=
Nikapambana hadi mwezi wa pili unaisha nimeingiza laki 6 kasoro yaani nilihisi ni uchawi aiseeeh hapo ndipo nikanunua blower kubwa ya 270,000/= ahf laki3 na50 ikabaki kama backup nanikama mtaji nilioanzia kiasi kwamba ningetaka kufungua goli lingine ningeweza hapo nilihisi sio mimi kabisa yaaan mwezi wa tatu kwenda wa4 nikajikuta nimelaza laki 7 na60 hapo nikiiangalia mpesa yangu najiona bakhresa flani hivi ndipo nikanunua desktop computer nakuinstall miracle thunder nakuongeza huduma zakuflash simu nakutoa pesa kwa lipa namba nnachofanya: mteja akija kutoa kuanzia 40,000/= anaacha tsh 2,000/= kama service charge kwa sasa kwasiku naeza pata hadi wateja 7 = >14,000/= day
Sasa huu mwezi wanne naeza sema nimefanikiwa kumiliki million kwenye account yangu mwenyewe kwa mara ya kwanza sasa ni mwezi wa tatu wa kazi yangu ya ufundi simu kwa haya mawndeleo najuta kwa nini nilichelewa kuisoma ile thread ya jamii forums
Malengo yangu: Kwa sasa hapa ninatengeneza simu nauza accesoriez nakutoa pesa kwa lipa namba
Kuanzia mwezi watisa nahitaji kuwekeza pia kwenye ufundi Tv,Deki,Sabufa,pasi,blenda nk.
Lengo ni kufungua branchi nyingine kwaajili ya shughuli hizo naombeni ushauri kwa mwenye uzoefu na hayo masuala ya ufundi Tv nk.
Nashukuru saana kwa wote mlioufanikisha uzi wakwanza wa ufundi simu..ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½
Mimi ni kijana mtafutaji wa hali ya chini kwanza niseme jamii forums n8 sehemu iliyonifanya nipate wazo hili ambalo naweza sema lime badilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa!
Mnano mwaka jana mwezi wa 9 nilifanikiwa kupata uzi hapa jf wenye ushauri juu ya biashara ya ufundi simu na nikajipanga na kuanza kuchukua hatua mwanzo nilikua nimeajiliwa kwenye kampuni fulani kwa mshahara wa Tsh laki 2 kwa mwezi nikajichanga huku najifunza basics za ufundi simu kama kuunga mic na spika kubadili systerm charge kuflash simu nk nikapata sehemu yakufanyia mazoezi golini kwamtu huku namlipa 30 kwa mwezi nikajifunza ufundi simu kila nikitoka kazini kwangu naenda kujifunza ilipofika mwezi wa kwanza nikajitosa lasmi kwenye ufundi simu.
Mrejesho
Nilianza kazi kwa mtaji wa Tsh 350,000/=
gun 6000/=
sodawire 20,000/= bunda
screw driver 8,000/=
chumba miezi 5 30@mwezi= 150,000/=
umeme 10,000/=
55,000/= hot air blower
Enga zakuwekea baadhi ya bidhaa
8 @1500=12,000/=
protectors 10@1200=12000/= flash(faster)3 @9,000/= gb32 =27,000/=
20,000/= line yalipa namba vodacom 30,000/= mabetri ya simu makava usb kardreader etc..
Hapo ndipo nilipouanza mwendo
Kwa mwezi wa kwanza sikuwa na makadrio maalumu maana nilianza biashara tar 17 hivyo sio mwezi lasmi saana japo siku ikiwa mbaya nalaza 10,000/= hasara zikawa zinakuja mixer kuharibu simu zawatu najikuta naenda kughalamia kwa fundi mwingine lakini hiki kipindi kilikuwa kigumu saana maana mteja analeta simu yenye tatizo la kubadilishiwa screen tatizo linaisha ahf mic inaharibika yaaan hadi sasa bado kwenye uharibifu ndio changamoto nayo pitia saaana lakini hadi nafika tar 31 january ninatsh 90,000/= mfukon nimesave ulipo anza mwezi wapili naeza sema ndipo nilipo anza rasmi biashara yangu maaana kunasiku naeza laza hadi 50,000/= nasiku mbaya naeza laza 15,000/=
Nikapambana hadi mwezi wa pili unaisha nimeingiza laki 6 kasoro yaani nilihisi ni uchawi aiseeeh hapo ndipo nikanunua blower kubwa ya 270,000/= ahf laki3 na50 ikabaki kama backup nanikama mtaji nilioanzia kiasi kwamba ningetaka kufungua goli lingine ningeweza hapo nilihisi sio mimi kabisa yaaan mwezi wa tatu kwenda wa4 nikajikuta nimelaza laki 7 na60 hapo nikiiangalia mpesa yangu najiona bakhresa flani hivi ndipo nikanunua desktop computer nakuinstall miracle thunder nakuongeza huduma zakuflash simu nakutoa pesa kwa lipa namba nnachofanya: mteja akija kutoa kuanzia 40,000/= anaacha tsh 2,000/= kama service charge kwa sasa kwasiku naeza pata hadi wateja 7 = >14,000/= day
Sasa huu mwezi wanne naeza sema nimefanikiwa kumiliki million kwenye account yangu mwenyewe kwa mara ya kwanza sasa ni mwezi wa tatu wa kazi yangu ya ufundi simu kwa haya mawndeleo najuta kwa nini nilichelewa kuisoma ile thread ya jamii forums
Malengo yangu: Kwa sasa hapa ninatengeneza simu nauza accesoriez nakutoa pesa kwa lipa namba
Kuanzia mwezi watisa nahitaji kuwekeza pia kwenye ufundi Tv,Deki,Sabufa,pasi,blenda nk.
Lengo ni kufungua branchi nyingine kwaajili ya shughuli hizo naombeni ushauri kwa mwenye uzoefu na hayo masuala ya ufundi Tv nk.
Nashukuru saana kwa wote mlioufanikisha uzi wakwanza wa ufundi simu..ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½