Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Umeona eeeeeh.unachokula siku hizi sio poa!
Niliambiwa lakini, Dada bangi zitakubangua sikusikia.
Nikaona hawa hawajui stimu waniache.
Ona sasa. Sio poa. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona eeeeeh.unachokula siku hizi sio poa!
Punguza hiyo bangi, jani limefanya ubongo uende resi au?Umeona eeeeeh.
Niliambiwa lakini, Dada bangi zitakubangua sikusikia.
Nikaona hawa hawajui stimu waniache.
Ona sasa. Sio poa.
Chris Mpingo huyu atakuwa.Na akakubatiza jina la kizungu kabisa?
Eti Chris Wood.
Hebu jipe jina la mti wowote wewe.
Chris Mbuyu, Chris Mpodo, Chris Mpingo.
Chris Mpingo huyu atakuwa.
Umekuja na plan B we muongo sana hebu weka ile picha ya pete kuna kitu cha kujifunza hapa.Kama ambavyo nilivyokuwa nimeleta bandiko, weekend wakati nilikuwa nikizunguka huku na kule, nilipita mahali nikakaa wakati naondoka niliokota kipochi kidogo ambacho ndani nilikuta kunapete 3.
Nilikuja kutaka ushauri humu ni jinsi gani na wapi ninaweza kuzipiga bei kwani zilikuwa zikionekana niza gharama, Bila matarajio nilikutana na maneno ya wadau humu kutaka nifanye utaratibu wa kumrudishia mwenye mali pete zake.
Jana asubuhi nilirudi mahali pale na kuacha taarifa, lakini jambo la kustaajabisha, nilikuta siku ile ile yule mama alirudi kuulizia pale, walimpigia simu nikamsubiri pale alivyofika nikamkabidhi pete zake.
Yule mama alitoa dola 100 akanipatia, akanipatia card ya mawasiliano akanishukuru sana kisha akaondoka.
View attachment 1936796
Moderator wameadd ule uzi hapo, fungua utaziona pichaUmekuja na plan B we muongo sana hebu weka ile picha ya pete kuna kitu cha kujifunza hapa.
Au Chris Muashoki 🤣🤣🤣Chris Mpingo huyu atakuwa.
Nilishaacha.Punguza hiyo bangi, jani limefanya ubongo uende resi au?
Unanirushia mawe huku umejisahau na hilo jina lakoChris Mpingo huyu atakuwa.
Mpe jina mkuu 🤣🤣🙊🙊Unanirushia mawe huku umejisahau na hilo jina lako
Lini mpogolo akaitwa renegade
Siri hii wabongo 99% hawaijui ndio maana ni masikini wengi.Uaminifu ni mtaji na unalipa, hongera kwa uaminifu wako.
Kama ambavyo nilivyokuwa nimeleta bandiko, weekend wakati nilikuwa nikizunguka huku na kule, nilipita mahali nikakaa wakati naondoka niliokota kipochi kidogo ambacho ndani nilikuta kunapete 3.
Nilikuja kutaka ushauri humu ni jinsi gani na wapi ninaweza kuzipiga bei kwani zilikuwa zikionekana niza gharama, Bila matarajio nilikutana na maneno ya wadau humu kutaka nifanye utaratibu wa kumrudishia mwenye mali pete zake.
Jana asubuhi nilirudi mahali pale na kuacha taarifa, lakini jambo la kustaajabisha, nilikuta siku ile ile yule mama alirudi kuulizia pale, walimpigia simu nikamsubiri pale alivyofika nikamkabidhi pete zake.
Yule mama alitoa dola 100 akanipatia, akanipatia card ya mawasiliano akanishukuru sana kisha akaondoka.
View attachment 1936796
PIA, SOMA: - Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?
Hiyo pesa na wewe usiitumie kwenye anasa yoyote ile, ifanyie mambo ya msingi. Utakuja kunishukuru hapa kwa Mbegu utakayoipanda. Asante.Kama ambavyo nilivyokuwa nimeleta bandiko, weekend wakati nilikuwa nikizunguka huku na kule, nilipita mahali nikakaa wakati naondoka niliokota kipochi kidogo ambacho ndani nilikuta kunapete 3.
Nilikuja kutaka ushauri humu ni jinsi gani na wapi ninaweza kuzipiga bei kwani zilikuwa zikionekana niza gharama, Bila matarajio nilikutana na maneno ya wadau humu kutaka nifanye utaratibu wa kumrudishia mwenye mali pete zake.
Jana asubuhi nilirudi mahali pale na kuacha taarifa, lakini jambo la kustaajabisha, nilikuta siku ile ile yule mama alirudi kuulizia pale, walimpigia simu nikamsubiri pale alivyofika nikamkabidhi pete zake.
Yule mama alitoa dola 100 akanipatia, akanipatia card ya mawasiliano akanishukuru sana kisha akaondoka.
View attachment 1936796
PIA, SOMA: - Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?
😅😅😅Unanirushia mawe huku umejisahau na hilo jina lako
Lini mpogolo akaitwa renegade
get out here! this is positive+++😁Unadhani akifanya hivyo inamsaidia nn? Why dont you think positive?
Nikishakuwekea uwasilianenae sioUmetuonyesha dola pekee hebu tuonyeshe na hiyo kadi ya mawasiliano tuone kama ni kweli aisee