Amfanyie mpango aende state. Hiyo inatosha sana kwake, kule kuna maishaMawasiliano aliokuachia usimtafute Leo Wala kesho Kama n namba ya simu yakwao sio ya bongo hapo tengeneza connection lakibabe mpe hata mwez Kama unakiraruraru Basi after two weeks msalimie.
Ongea nae connection za pesa huwez just huko kwao wapo vip naamini unabusara hvyo utanzania(Africa) hautauonyesha hapo.
Mpe dili akukusanyie makorokoro mpaki kwenye container mpige pesa
Tanzania Ni TajiriNdio first time nimeishika dola, maisha hatulingani
Tatizo mleta uzi hajaelewa maana ya kupewa kadiDaaa kama utapata muda rudi kwenye uzi ule halafu soma comment yangu mkuu,nilikutabilia hiki kitu kua utapata kitu kikubwa zaidi zaidi ni hiyo connection nasemaje
Umeulaaaa wenzetu wanapenda sana watu waaminifu!
hahahaahaa fursa hiyo inabidi aichangamkie fasta!Tatizo mleta uzi hajaelewa maana ya kupewa kadi
Yah Sasa ukitaka utishe Zaid hio Dola 100 fanya kutoa fungi la 10.
Kwa wanaohitaji msaadaAkatoe wapi humu jf au?
Mkuu, nitoe na mwekundu basi nikale baga
Kwa wanaohitaji msaada
Uaminifu ni mtaji mkubwa sanaKama ambavyo nilivyokuwa nimeleta bandiko, weekend wakati nilikuwa nikizunguka huku na kule, nilipita mahali nikakaa wakati naondoka niliokota kipochi kidogo ambacho ndani nilikuta kunapete 3.
Nilikuja kutaka ushauri humu ni jinsi gani na wapi ninaweza kuzipiga bei kwani zilikuwa zikionekana niza gharama, Bila matarajio nilikutana na maneno ya wadau humu kutaka nifanye utaratibu wa kumrudishia mwenye mali pete zake.
Jana asubuhi nilirudi mahali pale na kuacha taarifa, lakini jambo la kustaajabisha, nilikuta siku ile ile yule mama alirudi kuulizia pale, walimpigia simu nikamsubiri pale alivyofika nikamkabidhi pete zake.
Yule mama alitoa dola 100 akanipatia, akanipatia card ya mawasiliano akanishukuru sana kisha akaondoka .View attachment 1936796
Point. Tena riziki ya halali.Hiyo dora 100 ndo ilokuwa riziki yako iwe somo na kwa wengine
Uaminifu kwa waafrika tulio wengi ni tatizo kubwa sana ni somo pana sana sababu ni muendelezo wa kizazi hadi kizaziPoint. Tena riziki ya halali.
unachokula siku hizi sio poa!Na akakubatiza jina la kizungu kabisa?
Eti Chris Wood.
Hebu jipe jina la mti wowote wewe.
Chris Mbuyu, Chris Mpodo, Chris Mpingo.