Mrejesho ajali ya coaster Tanga

Mrejesho ajali ya coaster Tanga

Pole sana mkuu na ni jambo jema kijana wetu yupo salama...
Wishing y'all a quick recovery na wepesi kwenye maumivu mnayoyapitia.

Well na kwa wale fallen brothers and sisters walio poteza uhai wao kwenye ajali hiyo hii ni special kwao.
May their souls find peace.
 
pole sana mkuu Mungu akuponye na upate nguvu.. na mpe pole mtoto jamani
 
Pole sana mkuu kipumbwi naona ni wa nyumbani hopefully michungwani. Nikipata muda inshalaah jumamosi ntakucheki karibu kwemkabala
 
Nikashonwa kichwani kwa zaidi ya masaa mawili na kibatari pia umeme ulipikatika,bila ganzi,wakahamia na mkononi ila baadhi nikagoma waniache,maumivu ya nyama za mkono yalizidi,hiyo ni hospital ya teule.

Kesho hadi saa 8 mchana sijafanyiwa dressing ya vidonda,kisa umeme hamna na vyombo havijachemshwa,tukapambana nikahamia hospital ya mkoa baada ya wazazi na ndugu kuja juu.
Inasikitisha sana. Anyway, ngoja mtakatifu anunue kwanza ndege nyingine tatu kwa cash bila procurement, halafu hayo mengine ya hospitali yatakuja 2024
 
Huna heshima kwenye uzi wa mleta mada, inaonyesha hauna lolote na tabia yako ilivyo.

Ha ha haaaa wivu.com
Pigika tu ulipo na saga meno ya ualosto na upwotopwoto

CIAO
cc. Mshana jr., Task Force. No comment for such creature mjibu nyinyi.
 
Duuh pole sana mkuu Mungu awafanyie wepesi na kijana mpone haraka.
 
Back
Top Bottom