Kwa vile anasingizia atachelewa kupona ile hospital ni ya mission inaitwa teule kwa kuwa muheza hakuna hospital ya serikali ya kujitegemea baada ya kuwepo hiyo hivyo huwa serikali huwa inaingia ubia na missions au mashirika wanafanya kazi kwa pamoja serikali inaingiza pesa yao pale na vifaa na wenye hospital yao wanaingiza vitu vyao pesa na vifaa wao wana watumishi wao wanawalipa wao na wapo wa serikali wanalipwa na serikali inaitwa PPP private partnerships.... hospital kama hizo zipo nyingi mfano ifakara st Fransis mission sasa hivi imekuwa chuo kikuu cha madaktar, bwagala, kibosho, na hizo ddh huwa ni hospital za wilaya zipo nyingi huruma ipo rombo zinakuwa na huduma nzuri sana huwa ni safi sana watumishi wanaojituma vifaa na dawa za kutosha sasa wewe ukisema ulishonwa bila ganzi hueleweki unatukana mkunga na uzazi ungalipo dawa ya ganzi haiwezi kupotea hosp yoyote ile na huwezwi kushonwa jeraha hata liwe dogo namna gani bila ganzi dhambi kubwa sana kusingizia kitu sicho pole sana