kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,905
Pole sana mkuu na mtoto wetu, mungu awape uponyaji na awalaze mahali pema peponi waliofariki katika ajali hiyo.
Katika ajali hii dreva wa coaster ni mzembe sana, kwa nini akimbize gari lenye abiria na ku overtake Lori bovu sehemu ya mlimani ambayo haoni mbele vizuri? ?
Serikali, msikae kimya ajali za barabarani hv sasa ni janga zito na kubwa hivi kweli imeshindikana kabisa kuzizidhibiti? ?
Mfano haya malori kuharibika barabarani ambapo ni nyembamba, hv serikali mmeshindwa kabisa kujenga diversions mfano wa vituo vya mabasi ila viwe virefu kila baada ya kilomita 10, kwa ajili ya kuegesha malori mabovu, yaliyopata hitilafu, madereva kupumzika nk hii ingekupunguza kwa kiasi kikubwa ajali hizi.
Pia traffic police rudisheni road patrol, kuna madreva wazembe wengi ambao mngeweza kuwabaini mara moja kuliko kukaa sehemu moja na kupima speed tu, viongozi wetu acheni kukariri mambo hayo hayo kila siku, jaribuni kuwa wabunifu, watu wengi wanapoteza maisha huko barabarani ni lazima sasa kitu kikubwa kifanyike.
Sijui hata kama ushauri wangu huu utamfikia yoyote na kuleta badiliko Kwny janga hili.
Katika ajali hii dreva wa coaster ni mzembe sana, kwa nini akimbize gari lenye abiria na ku overtake Lori bovu sehemu ya mlimani ambayo haoni mbele vizuri? ?
Serikali, msikae kimya ajali za barabarani hv sasa ni janga zito na kubwa hivi kweli imeshindikana kabisa kuzizidhibiti? ?
Mfano haya malori kuharibika barabarani ambapo ni nyembamba, hv serikali mmeshindwa kabisa kujenga diversions mfano wa vituo vya mabasi ila viwe virefu kila baada ya kilomita 10, kwa ajili ya kuegesha malori mabovu, yaliyopata hitilafu, madereva kupumzika nk hii ingekupunguza kwa kiasi kikubwa ajali hizi.
Pia traffic police rudisheni road patrol, kuna madreva wazembe wengi ambao mngeweza kuwabaini mara moja kuliko kukaa sehemu moja na kupima speed tu, viongozi wetu acheni kukariri mambo hayo hayo kila siku, jaribuni kuwa wabunifu, watu wengi wanapoteza maisha huko barabarani ni lazima sasa kitu kikubwa kifanyike.
Sijui hata kama ushauri wangu huu utamfikia yoyote na kuleta badiliko Kwny janga hili.