Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kitendo cha serikali ya rais John Pombe Magufuli kuongeza pesa nyingi na kuwepo na usimamizi mzuri wa mradi wa REA tayari chama cha mapinduzi kimeshajizolea kura kwa 50% za urais hata kabla ya uchaguzi.
Hii ni kwa sababu mpaka sasa ni 72% ya vijiji hapa Tanzania vimeshawekewa umeme. Nyumba za makuti, nyumba za tembe zinawaka umeme tena kwa bei rahisi kabisa ya 27000. Ikumbukwe kuwa hii ni kwa sababu JPM alipoingia madarakani alisema lazima atekeleze ilani ya CCM ya kupeleka umeme vijijini bila Tanzania nzima.
Napita barabara ya Old Shinyanga naelekea Shinyanga nashangaa kuona nyumba za tope na tembe zote zina umeme.
Kwa hili lazima tumpongeze JPM na chama chake na tutambue maendeleo hayana vyama.
Hii ni kwa sababu mpaka sasa ni 72% ya vijiji hapa Tanzania vimeshawekewa umeme. Nyumba za makuti, nyumba za tembe zinawaka umeme tena kwa bei rahisi kabisa ya 27000. Ikumbukwe kuwa hii ni kwa sababu JPM alipoingia madarakani alisema lazima atekeleze ilani ya CCM ya kupeleka umeme vijijini bila Tanzania nzima.
Napita barabara ya Old Shinyanga naelekea Shinyanga nashangaa kuona nyumba za tope na tembe zote zina umeme.
Kwa hili lazima tumpongeze JPM na chama chake na tutambue maendeleo hayana vyama.