Mradi wa Mji wa Wakanda ulioahidiwa na mwanamuziki Akon nchini Senegal wageuka kituko na utapeli mtupu.

Mradi wa Mji wa Wakanda ulioahidiwa na mwanamuziki Akon nchini Senegal wageuka kituko na utapeli mtupu.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,302
Mwaka 2020 mwanamzuki Akon aishiye nchini Marekani alipewa ekari 136 na serikali ya Senegal ili kuwekeza kujenga jiji la Wakanda lenye thamani ya $bilioni 6 (Watu wa mjini hasa Daslam wanaongalia movies wanaelewa vizuri Wakanda, sina haja ya kufafanua). Hata hivyo mradi huo haujafanyika kama ilivyokusudiwa na kupelekea serikali ya Senegal kuirejesha ardhi yake kwa ajili ya mradi wa kawaida wa utalii tu kujenga mahotel ya kifahari.

Huu hapa ndio mji wa Wakanda ulioahidiwa na Akon.
20250711_044128.jpg

Huu ndio mradi uliojengwa baada ya miaka mitano
20250711_044132.jpg
 
Mwaka 2020 mwanamzuki Akon aishiye nchini Marekani alipewa ekari 136 na serikali ya Senegal ili kuwekeza kujenga jiji la Wakanda lenye thamani ya $bilioni 6 (Watu wa mjini hasa Daslam wanaongalia movies wanaelewa vizuri Wakanda, sina haja ya kufafanua). Hata hivyo mradi huo haujafanyika kama ilivyokusudiwa na kupelekea serikali ya Senegal kuirejesha ardhi yake kwa ajili ya mradi wa kawaida wa utalii tu kujenga mahotel ya kifahari.

Huu hapa ndio mji wa Wakanda ulioahidiwa na Akon.
View attachment 3402931
Huu ndio mradi uliojengwa baada ya miaka mitano
View attachment 3402930
Sasa si ageuze kanisa hilo gofu awakodishie manabii hapo chap hela inarudi.
 
Wamepiga hela au akon kaacha kutoa hela
Itakuwa alikuwa anategemea pesa za wawekezaji na mikopo wakaanza mapambio kabla ya pesa zenyewe kutolewa.
 
Sasa dola bilioni 6 unafanya mchezo nini, akon mwenyewe hana utajiri huo, hata auze figo na bandama zake hana hiyo pesa..
 
Mwaka 2020 mwanamzuki Akon aishiye nchini Marekani alipewa ekari 136 na serikali ya Senegal ili kuwekeza kujenga jiji la Wakanda lenye thamani ya $bilioni 6 (Watu wa mjini hasa Daslam wanaongalia movies wanaelewa vizuri Wakanda, sina haja ya kufafanua). Hata hivyo mradi huo haujafanyika kama ilivyokusudiwa na kupelekea serikali ya Senegal kuirejesha ardhi yake kwa ajili ya mradi wa kawaida wa utalii tu kujenga mahotel ya kifahari.

Huu hapa ndio mji wa Wakanda ulioahidiwa na Akon.
View attachment 3402931
Huu ndio mradi uliojengwa baada ya miaka mitano
View attachment 3402930
Naiona fordow hapo chini kwenye picha sasa nimeamini Trump alinidanganya kinu kipo salama
 
n
Mwaka 2020 mwanamzuki Akon aishiye nchini Marekani alipewa ekari 136 na serikali ya Senegal ili kuwekeza kujenga jiji la Wakanda lenye thamani ya $bilioni 6 (Watu wa mjini hasa Daslam wanaongalia movies wanaelewa vizuri Wakanda, sina haja ya kufafanua). Hata hivyo mradi huo haujafanyika kama ilivyokusudiwa na kupelekea serikali ya Senegal kuirejesha ardhi yake kwa ajili ya mradi wa kawaida wa utalii tu kujenga mahotel ya kifahari.

Huu hapa ndio mji wa Wakanda ulioahidiwa na Akon.
View attachment 3402931
Huu ndio mradi uliojengwa baada ya miaka mitano
View attachment 3402930
Ina maana Akon alikua anatuma ela tuh bila kujua maendeleo ya ujenzi🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom