BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
CHALINZE
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amekagua na kuridhika kuruhusu maji yaanze kutumiwa na wananchi katika maeneo ya Chalinze ambapo miundombinu imekamilika.
Hizi ni habari njema kwa wananchi wa Chalinze ambao kwa muda mrefu wanahangaika na shida ya maji.
Kwa upande wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze amemshukuru Hayati Rais John Magufuli kwa kuridhia kuanzisha mradi na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha anaukamilisha mradi huu.
Mbunge alieleza kutambua mchango wa wote kwa kusema kuwa "...kiungwana Usipomshukuru Binadamu mwenzio kwa kidogo , hauwezi mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kikubwa.
Mhe Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani.
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amekagua na kuridhika kuruhusu maji yaanze kutumiwa na wananchi katika maeneo ya Chalinze ambapo miundombinu imekamilika.
Hizi ni habari njema kwa wananchi wa Chalinze ambao kwa muda mrefu wanahangaika na shida ya maji.
Kwa upande wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze amemshukuru Hayati Rais John Magufuli kwa kuridhia kuanzisha mradi na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha anaukamilisha mradi huu.
Mbunge alieleza kutambua mchango wa wote kwa kusema kuwa "...kiungwana Usipomshukuru Binadamu mwenzio kwa kidogo , hauwezi mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kikubwa.
Mhe Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani.